Gazeti la Majira nakala ya leo limemnukuu Dr. Slaa ambaye hivi sasa wengi tunamwona ni Raisi Mtarajiwa ya kuwa ameionya CCM kuvunja mara moja vikundi vijulikanavyo kama "GREEN GUARDS" ambavyo CCM imeviandaa ili kuvuruga uchaguzi.
Dr. SLaa alitoa karipio hilo dhidi ya JK na CCM yake kuwa kama uchaguzi huu utaghubikwa na vurugu basi JK na CCM yake ambao ndiyo wapo madarakani ndiyo wahimili waku
Dr. Slaa alidai ya kuwa CCM imetoa mafunzo kwa vijana hao kwa minajili ya kuwapa mkong'oto vijana ambao wanakiunga chama cha siasa cha Chadema...........
Jamani JK, what kind of a value chain is this sir = family first (Salma Ridhiwani), comes solders (Kinana, Mkuchika, Chiligati, Kamwambi, Chiligati,Shimbo, Makamba) you name it, comes relative (Mwema), follows Party (CCM), comes Donors(Bush, world bank), lastly is the national interest (Tanzania ya Mwisho). :A S angry:Tatizo la CCM kwa sasa ni uozo unaofanywa na Maafisa wastaafu wa jeshi JK KINANA, MAKAMBA NA CHILIGATI
Hatuwezi fumbia macho wala kuwaacha. Tukiwapa nafasi tu, watakaoomboleza ni sisi na jamaa zetu!Waacheni waendelee kutengeneza Mungiki kama ya kenya. Itawatafuna wenyewe!