Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnhhh...jibu maswali yafuatayo then sie ndio tupate nafasi ya kukushauri
1-yeye ameolewa na mmewe unamfahamu..je wewe umeoa?
2-huja sebuleni kwako?..kufanya nn?...na kwanini huja wakati mmewe kasafiri?
3- mke wa mtu ni sumu..unalijua hilo?
4- mlishawazhi kutamkiana mambo yoyote ya mapenzi?
5-anamfahamu mkeo au hata girlfriend wako?
6- ushawahi kusikia mtu kaliwa kiboga na kupigwa picha za video na mnato kisha zikabandikwa mitaani?...ungependa uwe mmoja kati ya hao walowahi kuliwa kiboga kisa mke wa mtu?
7- cha mtu mavi ukikiona kiteme..au umesahau nahau na misemo yetu ya kale?
KAMA MAJIBU YOTE NI NDIYO...ACHA MARAMOJA KUMFIKIRIA KIMAPENZI MKE WA MWENZAKO...KAMA NI HAPANA ANZA KUMTONGOZA NA MMEWE AKISAFIRI NEXT WEEK MLE KIBOGA... NA KAMA MAJIBU NI SIJUI BASI MUENDELEE NA STORI ZA KAWAIDA NA AWE RAFIKI YAKO MPAKA MMEWE AJUE KUWA WEWE NA MKEWE NI MARAFIKI WEMA..ni maoni tuu
mnhhh...jibu maswali yafuatayo then sie ndio tupate nafasi ya kukushauri
1-yeye ameolewa na mmewe unamfahamu..je wewe umeoa?
2-huja sebuleni kwako?..kufanya nn?...na kwanini huja wakati mmewe kasafiri?
3- mke wa mtu ni sumu..unalijua hilo?
4- mlishawazhi kutamkiana mambo yoyote ya mapenzi?
5-anamfahamu mkeo au hata girlfriend wako?
6- ushawahi kusikia mtu kaliwa kiboga na kupigwa picha za video na mnato kisha zikabandikwa mitaani?...ungependa uwe mmoja kati ya hao walowahi kuliwa kiboga kisa mke wa mtu?
7- cha mtu mavi ukikiona kiteme..au umesahau nahau na misemo yetu ya kale?
KAMA MAJIBU YOTE NI NDIYO...ACHA MARAMOJA KUMFIKIRIA KIMAPENZI MKE WA MWENZAKO...KAMA NI HAPANA ANZA KUMTONGOZA NA MMEWE AKISAFIRI NEXT WEEK MLE KIBOGA... NA KAMA MAJIBU NI SIJUI BASI MUENDELEE NA STORI ZA KAWAIDA NA AWE RAFIKI YAKO MPAKA MMEWE AJUE KUWA WEWE NA MKEWE NI MARAFIKI WEMA..ni maoni tuu
Tunaishi jirani sana kiasi kwamba kila siku jioni lazima tuonane, ameolewa nami nafahamu hilo, hujiheshimu kwa kiwango chake, na mume wake huwa ni mtu asiyekuwepo mara nyingi za wiki (kama siku 4/5 lazima anakuwa hayupo kwa wiki).....! Lakini kila siku akiwepo mwanaume huyu, huyu dada anakuwa busy kiasi kwamba tunasalimiana kwa mbali tu, then huyooooo amepita.... Ila kama mzee hayupo, basi hujiachia na mara nyingine kama nimekaa sebuleni kwangu huja na kukaa nami, tena karibu; (mara nyingine hadi nashtukia mapaja yanagusana.....!, but not naked)....! Sasa wandugu nawauliza, hii body language ina ujumbe gani?
Nawasilisha...