Uko gerezani umefungwa kifungo kisicho na mwisho, unapewa nafasi moja ya kutoka gerezani iwapo utapita mtihani ulio mbele yako.
Mtihani wenyewewe.
Unaonywesha milango miwili, kila mlango unamlinzi mmoja, mlango mmoja unaelekea kunyongwa na mlango mwingine unakurudisha uraiani kula maisha na jamaa zako. Hujui mlango upi kati ya miwili unakwenda uraiani na upi utakupeleka kwenye kifo, katika kukusaidia kutambua mlango sahihi wa kuelekea uraiani umepewa nafasi ya kumuuliza mlinzi mmoja wapo kati ya hao wawili swali moja TU ilikutambua ni mlango upi utokee/ufungue na upate kupona.
Katika hao walinzi wawili, mmoja anasema uongo tu na mwingine anasema kweli tu, na hawa wawili wanajuana tabia zao na wewe hujui yupi ni mkweli na yupi ni muongo.
JE,
Utauliza swali gani kwa mlinzi yupi NA utafanya nini ili ujue mlango utakao kupeleka uraiani kufurahia maisha na si kwenda kunyongwa?
Karibuni
Mtihani wenyewewe.
Unaonywesha milango miwili, kila mlango unamlinzi mmoja, mlango mmoja unaelekea kunyongwa na mlango mwingine unakurudisha uraiani kula maisha na jamaa zako. Hujui mlango upi kati ya miwili unakwenda uraiani na upi utakupeleka kwenye kifo, katika kukusaidia kutambua mlango sahihi wa kuelekea uraiani umepewa nafasi ya kumuuliza mlinzi mmoja wapo kati ya hao wawili swali moja TU ilikutambua ni mlango upi utokee/ufungue na upate kupona.
Katika hao walinzi wawili, mmoja anasema uongo tu na mwingine anasema kweli tu, na hawa wawili wanajuana tabia zao na wewe hujui yupi ni mkweli na yupi ni muongo.
JE,
Utauliza swali gani kwa mlinzi yupi NA utafanya nini ili ujue mlango utakao kupeleka uraiani kufurahia maisha na si kwenda kunyongwa?
Karibuni