Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Unipeleke kwako, wewe unanifahamu mimi.
umejuaje niko dar....
mausalama wa ukweli huwa hamusemi n'go.
haya dogo piga kazi nimekuchemsha na umewaka kweli, nahisi unatamani ukinikamata utaninyonya macho, nyie wakurya sio kabisa.
We Mbwa gani usiyeelewa? Nyakarungu amejieleze watu tumefarijika lakini bado unajikakamua pointlessly, au mbwa wa zoba wanafikiri kwa mkia badala ya kichwa?