Pls confirm this??? Mnaturusha roho namna hii jamani; Nilisikia majaji wako ktk likizo imekuwaje??? pls update this is more sensitive
Majaji tu. Mahakimu hapana.
Pls confirm this??? Mnaturusha roho namna hii jamani; Nilisikia majaji wako ktk likizo imekuwaje??? pls update this is more sensitive
So they had to wait until the criminal gets his retirement benefits!
majaji tu. Mahakimu hapana.
kikwete noma mwenyewe yupo kempinskiiii anajirusha na stars anajifanya kama hajui kinachoendelea
Kuna taarifa zinazotufikia punde kuwa Gray Mngoja kishafikishwa Mahakama ya Kisutu.
Taarifa zaidi zitakuja muda si mrefu!
mkuu kesi hizi ziko ktk level ya mahakama ya hakimu mkazi siyo mahakama kuu.
Kwahiyo likizo za majaji hazina hitilifu na mwenendo mzima wa wakulu kusulubiana huku chini kwanza, zaidi ya yote issue ya dhamana tayari ishapata mwongozo wa mahakama kuu kutokana na ile rufaa ya akina mramba,yonah na mwakosya dhidi ya maamuzi ya hakimu mkazi hezron mwankenja, hapo automatically kesi yoyote itakayofanana na hizo itafuata maamuzi ya jaji mwaikugile dhidi hakimu mwankenja full stop.
So they had to wait until the criminal gets his retirement benefits!
So they had to wait until the criminal gets his retirement benefits!
Eeh...
Ili kulipiza kisasi basi ni vema nae akawaburuza kina Slaa kortini, to even the score. He promised, didn't he?
Currently Active Users Viewing This Thread: 98 (39 members and 59 guests)
Ngongo, Belo, bill, Binti Haki, Byabato Kilama, chaka, Congo, Dark City, don, duzo, Edo, edwinito, Freetown, Iteitei Lya Kitee, Kichuguu, Kigogo, Kimambo, King Zenji, Kinyamana, kunda, Malunde-malundi, Middle, Mlalahoi, Mr. Zero, msasa, mutua12, MwakyJ, Mzeemundu, Mzuzu, Najikopa Mwenye, Ng'azagala, Njimba Nsalilwe, tikerra, tofty, Tuandamane, watu
Duh wakuu wanafuatilia !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
who is that??
Mkuu nilikumbuka ile list of shame ya kina Slaa na jinsi Mgonja alivyocharuka kwamba ataburuza watu kortini, then kimya.
Mkuu nilikumbuka ile list of shame ya kina Slaa na jinsi Mgonja alivyocharuka kwamba ataburuza watu kortini, then kimya.
... lakini wakuu naomba kuuliza Mgonja ana kesi gani hasa? Manaa juzi nilikuwa ninaongea na mdomo wa farasi mwenyewe akanimabia kua kama sio Mgonja, serikali isingejua kuwa kuna ufisadi wa EPA maana ndiye mtu wa kwanza kumshitua Meghji kuwa zimeibwia sio kama Balali alivyomshauri kuwa zimechukuliwa na security. au?
Halafu wakuu huko London, the dataz ni kwamba mstaafu wa idara yupo hapo ninapoandika, sasa mnaojua zaidi eti mkuu naye nasikia anapewa walinzi na serikali kama mawaziri wakuu na rais? Maana kuna mtu amenibonyeza kua amemuona na walinzi eti hii ni kweli au?