Gration na CWT.

Kayabwe

JF-Expert Member
Jan 8, 2012
354
51
Mm nadhani tuamini Mkoba ameusaliti walimu,hata tamko hakuna hadi leo.Basi tunaomba kile chama kipya kitusaidie,tunakiunga mkono.
 
Kichwa wapi na miguu ndio nima ate aumekula mchapati point ipo magwepande dr ilimboka ndio umeandika nini?tuiuuf supu tama sana kama maharage kwa pilipili na chai mboga ya usiku chumvi na maji ybahari mwabajeshi amepotea keanye kikao cha jana na birthday yake kwenye kikao cha harusi

Mkuu thread yako haijaeleweka, haina kichwa wala miguu, jipange basi twende sawa
 
Kichwa wapi na miguu ndio nima ate aumekula mchapati point ipo magwepande dr ilimboka ndio umeandika nini?tuiuuf supu tama sana kama maharage kwa pilipili na chai mboga ya usiku chumvi na maji ybahari mwabajeshi amepotea keanye kikao cha jana na birthday yake kwenye kikao cha harusi

Mkuu thread yako haijaeleweka, haina kichwa wala miguu, jipange basi twende sawa

lol jf kiboko. hivi wenzangu hamjagoma mimi nimegoma leo nina siku ya 4 job siendi na wanafunzi wako tu hawaelewi
 
Back
Top Bottom