Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Hizo photoshop tu mkuu usiogope sana hakuna Camera inaweza kupiga picha ya hivyo ndani ya mwili wa mwanadamu
Teh teh
Teh teh
duh, ushanikata ngoja nilale
Zinatisha,kama ndo hivi Mangi hanioni tena dukani kwake.
Acheni hizo sigara kwa kweli nilipoteza Mjomba wangu kwa kansa ya Koo si utani alipata shida sanamh ngoja nizitupe hizi nilizokuwa nazo uwii, umetoa somo hapa aisee, asante sana,, maana nazivuta mno,, especially nikiwa na assignment ngumu! Hebu tupe mbinu za kusaidia kuacha kabisa mkuu!