Mnaenda kutembeza biashara maofisini.
mi nlienda kwa jamaa alitangaza kazi apa jf da kumbe kazi ya kutembeza mahoyipoti na vijiko mtaani, nliondoka bila kuaga
they have called me today in the morning!,,, trainning kesho pale millenium towers saa tano,,,,,,.. kuna mwenye details nyingine? af inakuwaje trainning bila interview?
jamani mliotoka kwenye hii training naombeni mtujuze yaliyojili hko millenium towers.