only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
- Thread starter
- #21
Mi alikuaga jirani yangu 1. shepu ovyoooooo 2. usistaduu wakati hana senti anajitutumua kupanda taxi anakopa mpaka akahama mitaa ya kwetu kwa madeni ya madreva taxi 3. kazi ya utangazaji kwa mtu mwenye sauti (si bubu) kuna asiyeiweza?si unasoma tu karatasi? acheni kusifia upuuzi?
Mkuu hayo sasa ni yako.....................maana naona unamponda sana,watu kama nyinyi yawezekana mlimtongoza akawatolea nje ndio muanze kumponda.....ha ha ha ha ha....