KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Profesa majimarefu
Undugulization umejaa CDM...
Kila kiongozi mkuu ndani ya CDM ana mtu wake kwenye ubunge...
Hata kama hana qualifications!!
Huyu ni Mbunge wa viti maalum, Mkwe wa mzee Ndesamburo mwenye Certificate ya Hotel Management.
Watu aina hii ndio chadema inategemea ikitwaa dola wawe Mawaziri?
Name Grace Kiwelu Surname Kiwelu First Names Grace Sindato Alternate Name Title Country of Birth Tanzania
Positions From To Organisation Position 2005 Special Womens Seats Member
Date of Birth 14 Mar 1967 Political Affiliation CHADEMA Telephone Address Notes EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Young Men's Christian Association Certificate in Hotel Management Course 1987 1988 CERTIFICATE
Marangu Secondary School O-Level 1982 1985 SECONDARY
Makurumla Primary School Primary Education 1979 1981 PRIMARY
Kiwalaa Primary School Primary Education 1975 1979 PRIMARY
--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Keys Bureau de Change Manager 2000 2000
Moshi Phamarcy Purchasing Officer 1992 1999
Keys Hotel Cashier 1989 1991
--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of National Council 2003
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of Parliament 2000 Todate
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA UWT Chairperson (Moshi District) 1996
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member 1992 Todate
---------------
We uliyeleta huu uzi kwanza tuwekee CV ya Lakairo halafu baada ya hapo tutajadili hii CV ya MH Grace Kihwelu, CV sio kigezo cha kuwa kiongozi bora mawaziri wengi walioboronga katika huu utawala wa JK wengi ni wasomi wazuri tu, sasa angalia utendaji wao ulivyo na ulivyokuwa.Huyu ni Mbunge wa viti maalum, Mkwe wa mzee Ndesamburo mwenye Certificate ya Hotel Management.
Watu aina hii ndio chadema inategemea ikitwaa dola wawe Mawaziri?
Name
Grace Kiwelu
Surname
Kiwelu
First Names
Grace Sindato
Alternate Name
Title
Country of Birth
Tanzania
Positions
From
To
Organisation
Position
2005
Special Womens Seats
Member
Date of Birth
14 Mar 1967
Political Affiliation
CHADEMA
Telephone
Address
Notes
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Young Men's Christian Association Certificate in Hotel Management Course 1987 1988 CERTIFICATE
Marangu Secondary School O-Level 1982 1985 SECONDARY
Makurumla Primary School Primary Education 1979 1981 PRIMARY
Kiwalaa Primary School Primary Education 1975 1979 PRIMARY
--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Keys Bureau de Change Manager 2000 2000
Moshi Phamarcy Purchasing Officer 1992 1999
Keys Hotel Cashier 1989 1991
--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of National Council 2003
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member of Parliament 2000 Todate
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA UWT Chairperson (Moshi District) 1996
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Member 1992 Todate
---------------
Na "hoja" za maji marefu zimekaaje,kichawi kichawi?
Kamtazame kwanza Martha Mlata ambaye taaluma yake ni storekeeper, tena certificate. Then ndo ugeukie kwa wenye uwezo wa hotel management.Wasomi wapo CCM bana!Chadema hazina yao watu kama hawa, shuleni walikimbia "umande"