PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
naomba cv ya NGONYANI,
Watu aina hii ndio chadema inategemea ikitwaa dola wawe Mawaziri?
Duh! Mkuu ulitoka lini Mirembe?Weka na wewe CV yako tuone, kazi yako ya ush_ga umeacha pale karibu na Sinza Bar?
Nafikiri mijadala mingine ni muhimu kama huu huu ni mjadala chanya wa kujenga chama badala ya kukaa na kuanza kumtukana mtoa mada nivizuri tukaanza kufikiri vizuri kuhusu watu kama grace kiwelu na zaidi tufikiri kuhusu baraza letu la mawaziri ni kweli chadema tuna watu wa kuchukua majukumu ya uwaziri na kama hatuna basi tuzanze kurecruit
Yangu ni ipi?
ya kike
Sasa hiki chuo cha Young Men ameingiaje huko?
Kwanini mnaanza kuwaza baraza la mawaziri leo wakati uchaguzi mwingine utakuwa 2015! Nani aliwaambia CHADEMA haina watu makini zaidi ya huyo mnayejadili CV yake? Wacheni majungu na chuki zenu. Mbona hamjadili CV za wabunge wa CCM iliyopo madarakani sasa hivi. Ilikuwaje raisi wenu akawaacha wabunge wenu wenye CV zilizoshiba kweli kweli akaamua kuwateua mawaziri nje ya wabunge wa kuchaguliwa? CHADEMA itashindwa nini kufanya hivyo kama swala ni waziri kuwa profesa?Nafikiri mijadala mingine ni muhimu kama huu huu ni mjadala chanya wa kujenga chama badala ya kukaa na kuanza kumtukana mtoa mada nivizuri tukaanza kufikiri vizuri kuhusu watu kama grace kiwelu na zaidi tufikiri kuhusu baraza letu la mawaziri ni kweli chadema tuna watu wa kuchukua majukumu ya uwaziri na kama hatuna basi tuzanze kurecruit
Sasa hiki chuo cha Young Men ameingiaje huko?
Kama ni kweli basi hilo ni janga na msingi wa janga hilo ni chama chako CCM.Undugulization umejaa CDM...
Kila kiongozi mkuu ndani ya CDM ana mtu wake kwenye ubunge...
Hata kama hana qualifications!!
Wasomi wapo CCM bana!
Chadema hazina yao watu kama hawa, shuleni walikimbia "umande"