Nawasalimu wajameni, Naomba mwenye ufahamu ni wapi ndani ya bongo (Dar) naweza kupata GPS (Global Positioning System) anielekeze ninahitaji kupata kadhaa. Natanguliza shukrani.
Kwenye kukusanya data mkuu ndiko kwa sasa zinatumika sana mkuu,kwa kuangalia point ni rahisi kutrace sehemu data zilipochukuliwa pia huonyesha hadi ramani alivyokuwa anatembea huyo mchukua data,pia hutuma data huku zinakohitajika badala ya kutumia dodoso a.k.a questionnaireMi naomba mnitoe ushamba!! hivi hizi gps kwetu bongo hii zinakuwa zinafanya vipi kazi wakati hata mitaa mingine haina majina na mipango miji ndio kama ilivyo!!?
Aah Asante kaka, maana nilikuwa niko kizaniKwenye kukusanya data mkuu ndiko kwa sasa zinatumika sana mkuu,kwa kuangalia point ni rahisi kutrace sehemu data zilipochukuliwa pia huonyesha hadi ramani alivyokuwa anatembea huyo mchukua data,pia hutuma data huku zinakohitajika badala ya kutumia dodoso a.k.a questionnaire
mi nazikodisha....Nawasalimu wajameni, Naomba mwenye ufahamu ni wapi ndani ya bongo (Dar) naweza kupata GPS (Global Positioning System) anielekeze ninahitaji kupata kadhaa. Natanguliza shukrani.