Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Ni vyema tu-derive history Kabila katokea bongo sasa alienda kupigana vita bila ya silaha au alikutana nazo huko, kama Kabila alipigwa tafu na bongo kwanini isiwe waasi wengine hili moja tu.
Ukweli ni kwamba Tanzania tunatambulika kwamba tunasaidia waasi katika nchi za Congo, Burundi na Rwanda manake hata vita vyao ni wabongo ndio wanamaliza juzi juzi tu wabongo walimtoa msituni mtata wa mwisho Burundi. Sasa msipende sifa nzuri tu ili muonekane watu wema siku zote wengine hawafurahii msaada mnao toa hasa wazungu ambao kwao hawana rafiki wa kudumu na maslahi yao kwanza.
Hata UN wenyewe washashutumiwa kuhusika na vita congo manake wana silaha na jeshi lakini hawachukui hatua mauaji yanapotokea zaidi ya kulinda ngome zao. Silaha hazitengenezwi Tanzania kuwaacha watengenezaji ni ubeberu wa wazungu kupitia UN kukandamiza wanyonge na kuwagawa ili waendelee kutawala. Mbona madawa ya kulevya wameenda Kabul kupiga source lakini kama kuna mwanaume aende kupiga kiwanda cha AK 47 huko kilipo na grinade zinazouzwa kama njugu au akitaje tu kuhusika aone cha mtema kuni.
Wanapolalamika wa Iran kuhusu UN na mataifa ya wazungu mnaona poa lakini mkumbuke na nyinyi sio salama. Msaada wote wa kukaa na wakimbizi miaka yote, kutuharibia mazingira na kuleta majambazi this is the price kutoka UN, watutake radhi please. Wote watushutumu lakini sio UN jamani tumefanya kazi zao sana tu.
Sio kweli kabisa kwamba mizigo yote ya huko inapitia Dar kama mchangiaji mmoja alivyosema, Mombasa inapita mizigo mingi kwenda Rwanda, Burundi na hatimaye congo kumbukeni pia congo inapakana na Sudan ya kusini.
Ukweli ni kwamba Tanzania tunatambulika kwamba tunasaidia waasi katika nchi za Congo, Burundi na Rwanda manake hata vita vyao ni wabongo ndio wanamaliza juzi juzi tu wabongo walimtoa msituni mtata wa mwisho Burundi. Sasa msipende sifa nzuri tu ili muonekane watu wema siku zote wengine hawafurahii msaada mnao toa hasa wazungu ambao kwao hawana rafiki wa kudumu na maslahi yao kwanza.
Hata UN wenyewe washashutumiwa kuhusika na vita congo manake wana silaha na jeshi lakini hawachukui hatua mauaji yanapotokea zaidi ya kulinda ngome zao. Silaha hazitengenezwi Tanzania kuwaacha watengenezaji ni ubeberu wa wazungu kupitia UN kukandamiza wanyonge na kuwagawa ili waendelee kutawala. Mbona madawa ya kulevya wameenda Kabul kupiga source lakini kama kuna mwanaume aende kupiga kiwanda cha AK 47 huko kilipo na grinade zinazouzwa kama njugu au akitaje tu kuhusika aone cha mtema kuni.
Wanapolalamika wa Iran kuhusu UN na mataifa ya wazungu mnaona poa lakini mkumbuke na nyinyi sio salama. Msaada wote wa kukaa na wakimbizi miaka yote, kutuharibia mazingira na kuleta majambazi this is the price kutoka UN, watutake radhi please. Wote watushutumu lakini sio UN jamani tumefanya kazi zao sana tu.
Sio kweli kabisa kwamba mizigo yote ya huko inapitia Dar kama mchangiaji mmoja alivyosema, Mombasa inapita mizigo mingi kwenda Rwanda, Burundi na hatimaye congo kumbukeni pia congo inapakana na Sudan ya kusini.