nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
- Thread starter
- #21
Kubenea: MAGAZETI na WAHARIRI wake hawawezi kuoiongoza Serekali, si Serekali ya Tanzania au nyingine yeyote Duniani itakayokubali Ujinga Huo, aidha inaendeshwa Kidemokrasia au La. Demokrasia isiwe visingizio vya kuvuja Sheria.