PigaKuraYako
Member
- Oct 28, 2010
- 21
- 6
NEC itabidi wakumbuke kwamba "government of the people, by the people, for the people, shall not perish from the earth."
Nguvu ya UMMA ni shuguli nyengine kabisa.....hakuna mtu anayeombea Tanzania mabaya, lakini kumbukeni bila haki hakuna amani, hata China kusipo na democrasia, angalau sheria ipo na inabana hata wakubwa serikalini, ukila rushwa nikunyongwa tu, kesi haizidi hata wiki, hii inafanya watu waamini mfumo wa serikali yao , na kwamba haki ipo..
hapa Tanzania tunajidanya kuna democrasia, wakati kura zinatengenezwa na vijana wa usalama.....sasa kwanini waliruhusu wananchi wapange mistari siku ya jumapili?
Nguvu ya UMMA ni shuguli nyengine kabisa.....hakuna mtu anayeombea Tanzania mabaya, lakini kumbukeni bila haki hakuna amani, hata China kusipo na democrasia, angalau sheria ipo na inabana hata wakubwa serikalini, ukila rushwa nikunyongwa tu, kesi haizidi hata wiki, hii inafanya watu waamini mfumo wa serikali yao , na kwamba haki ipo..
hapa Tanzania tunajidanya kuna democrasia, wakati kura zinatengenezwa na vijana wa usalama.....sasa kwanini waliruhusu wananchi wapange mistari siku ya jumapili?