Gossip: Lulu

ok mi naomba kujua jina kamili,ana wazazi?je alikuwa anaishi nao?naona ameanza mambo mapema sana,mi ninajiuliza alipata wapi minguvu yote ya kumsukuma kanumba hadi aanguke,mi nataka kujua kama ana ndugu hata wakumuwekea mwanasheria?
 
Nyie mbona mazuzu ? mna uhakika kama kaua? inawezekana kuwa amesababisha kifo tena kwa sababu lukuki mojawapo inaweza kuwa self defence vipi nyie mna mhukumu moja kwa moja? Nakiri Lulu si miongoni mwa vijana wenye tabia mujarabu katika jamii lakini tusubiri facts ziwekwe wazi ndipo muhukumu!
 
Kama ni bahati mbaya watu wanaweza ku compromise na hilo swala.
Nina amani kwamba hata kama ameua (mahakama ndio yenyewe uwezo wa kuthibitisha), basi ni kwa bahati mbaya.
Tumeshapoteza maisha ya mmoja,. kuna haja ya kuharibu ya mwingine?
Just thinking aloud, hilo litategemea ndugu wa marehemu na polisi (bila kusahau huyo mwenye fungu).
Si unakumbuka Chenge aliua na ikaiishia hivi hivi?????:shock:

Mkuu are you Mud???????

Ati Mahakama ndio yenye uwezo wa kuthibitisha???? how????

Huku unasema tena ati itategemea na ndugu wa marehemu na police? Khhaaaaa we hujui kuwa this is complete corruption yaaani familia ya marehemu ikakae na police kusuruhisha Homicide Case ulisha ona wapi hata kama tanzania tua police wenye ufinyo wa kufanya Homicide Investigation huwezi niambia ati wakakae wao ndio wawe Peace Maker kweny Murder Case

My Take;

Kama hayo ndio mawzo yako au na wengine wana waza hivyo utakuwa ni uupuuuzi wa hali ya juuuu a.k.a ulimbukeni


 
Watu mnakosa umakini na weledi katika mambo ya msingi..hata aje nani huyu binti hatoki ndani yaaani jtano anapandishwa kizimbani...anastahiki kunyongwa mpaka kufa..mwana huyu kalaanika na huo ndo mshahara wake..

jamani maneno makali
 
msameeni mtoto wa watu jaameni maana hakutegemea, kifo ni kwa kila binadamu so siku yake imefika na hata huyo mtoto akitoka leo atakua anajuata kwa kusababisha kifo cha kanumba the great, bt for me she is innocent person, kukimbia ni kuepusha shari,tuwe wakweli wanajamii fr.

Sio kazi ya wana JF kumsamehe Lulu!
Na pia, kwani ameomba msamaha?
 
kaua tu...


Alaaa!!!

Au kwa sababu ni katoto kadogo na siyo Ditopile au Andrew Chenge? Hawa wawili waliua "in cold blood". Jamani tuwe na haya wakati mwingine. huyu binti hatujui hata kama ni kweli alimsukuma kwa kuwa statement imechukuliwa bila kuwa na mwanasheria au mlinzi wa amani - kwanza ni minor!!!

Kwani akina Ditopile na Chenge walifanya nini? Halafu wanapewa ulinzi kwenda kwenye tukio, wengine wakapewa hifadhi nyumbani kwa RPC. Aibu!!!

Tusishabikie sana macelebrity!

Nafikiri ingekuwa Dito alimpiga risasi Kanumba sijui kama hiyo kesi ingeshaisha leo - but that was just a useless daladala driver! - Is it?

Ingekuwa Chenge amemgonga Kanumba pangechimbika - but those were just useless ****** - is it?

FREE LULU IMMEDIATELY!!!!
 
Watu mnakosa umakini na weledi katika mambo ya msingi..hata aje nani huyu binti hatoki ndani yaaani jtano anapandishwa kizimbani...anastahiki kunyongwa mpaka kufa..mwana huyu kalaanika na huo ndo mshahara wake..
ndo yuko nje mkuu
 
Back
Top Bottom