Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
ok mi naomba kujua jina kamili,ana wazazi?je alikuwa anaishi nao?naona ameanza mambo mapema sana,mi ninajiuliza alipata wapi minguvu yote ya kumsukuma kanumba hadi aanguke,mi nataka kujua kama ana ndugu hata wakumuwekea mwanasheria?