Gosbert Blandes ni mtu wa tabia na uelewa gani?

Duh huyu mheshimiwa simjui historia yake wala sikuwahi kumjua kabla,ila mapema mwaka huu alifiwa na mdogo wake,kuna connection ya mbali na mke wa kaka yangu kwa hiyo nilienda kwenye msiba nyumbani alikopanga Kibamba,nilichokiona pale kwenye msiba conclusion yangu nilimwambia shemeji yangu kuwa huyu ni mtu wa ajabu.Yaani kwanza nyumba anayokaa hailingani ya hadhi ya prominent lawyer achilia mbali mbunge pili hata majirani hawakuja kwenye msiba,another question mark,nasikia hata kifo cha mdogo ake kilitokana na uzembe wa kutojali kwani alikuwa anaumwa ila walimgundua akiwa amekufa chumbani kwake siku ya pili,more question mark.La zaidi ni ushirikino wa watu sijui kama anao kwani hata kusafilisha mwili wa marehemu ilikuwa ni mbinde kweli watu walishikana mashati mpaka dakika za mwisho kule Tumbi Hospital ili kulipa gharama za usafiri.

Anyway,OMBUDSMAN hayo ndiyo niliyoyaona kwenye ule msiba otherwise siwezi kum-judge sana kwa sababu hayo ni mapungufu ya kibinadamu na hata hivyo si mtu ambae nime-mingle nae elsewhere.
 
Wakati huyu mnyambo G. Begumisa Blandes alikuwa anasoma Seminary ya Kilutheri, Morogoro darasa moja na mkubwa (baba mmoja mama mmoja) na walikuwa marafiki sana, sisi tulikuwa Kilakala Sec. Pili, sote mimi naye ni wabunge wa CCM sasa na niliwahi kwa muda mfupi kuwa mkazi pale jimboni kwao Nyakakika, Karagwe. Namfahamu kiasi tokea hapo mpaka sasa.

Nakubaliana na waliosema kuwa uwezo wake ni mdogo sana. Darasani kwao alikuwa miongoni mwa watu wachache wenye vituko vingi na (wabovu) wa mwisho kimasomo.
Hili lilijulikana kwani alishindwa mitihani ya shuleni kwao kuendelea na masomo yake (ingawa alikuwa anajisingizia kuwa mgonjwa) hadi kusababisha kulazimishwa kurudishwa nyuma yaani badala ya kumaliza na mkubwa wangu mwaka 1986 yeye pekee darani kwao ilibidi abaki hapo Seminary na kumaliza 1987 kwa kusaidiwa na mwalimu mzungu mmoja alikuwepo hapo hadi wakawa wanamtania kuwa ni mtoto wa mzungu. Ushahidi angalieni hata CV yake kwenye hiyo site ya Bunge alisoma miaka mitatu badala ya miwili A level. Tena ieleweke wazi kuwa pale seminary A level alikuwa anasoma HLD (History, Literature and Divinity (Bible knowledge), hii ilikuwa combination ya watu dhaifu kiakili tena walikuwa wachache sana pale shuleni kwao; mara nyingi ni wale walioingia na Div. III au IV kutoka form IV. Bahati kwa credit nzuri ya hiyo Bible na kidogo History ndizo nadhani zilimbeba kuingia mlimani akachukuwa hiyo LLB nako kwa kujikongoja sana.
Huyo mwalimu wao mzungu kama bado yuko hai leo, anaweza toa machozi huko aliko akisikia kuwa huyu Blandes anaweza eti kuwa miongoni mwa wana Kamati au Tume maalumu zinazohusika na maadili na uongozi wa Bunge kama ya tuhuma za rushwa na ile ya sakata la Jairo ambazo zote amekuwa mjumbe.

Ni bayana kwamba Begumisa ni mwanasheria mbabaishaji kutokana na huo huo uwezo wake mdogo kiakili na anatutia aibu Wabunge wa CCM kwa kuwa mlaghai. Novemba, mwaka jana kadanganya Bunge kuwa alipita kukusanya maoni juu ya rasimu ya sheria ya marekebisho ya katiba; kwamba wananchi wamemtuma ipite kama ilivyo, ushahidi ni hansard ! Sitashangaa kama anajihusisha na rushwa pia.

Hata uchaguzi wake ulipingwa sana hivyo akatangazwa chini ya ulinzi mkali sana kwa mwendo wa haraka kama ilivyotokea kwa rais Kibaki.

Ijulikane kuwa hata ndani ya CCM tumo tusiowakubali watu wa namna hii maana wanatuchafua na tunataka mihimili yote ya dola iwe makini kumfanyia vetting mtu yeyote ili afahamike vyema tabia na uwezo wake toka alipozaliwa kama anafaa kupewa nafasi kama hizi.
 
Wakati huyu mnyambo G. Begumisa Blandes alikuwa anasoma Seminary ya Kilutheri, Morogoro darasa moja na mkubwa (baba mmoja mama mmoja) na walikuwa marafiki sana, sisi tulikuwa Kilakala Sec. Pili, sote mimi naye ni wabunge wa CCM sasa na niliwahi kwa muda mfupi kuwa mkazi pale jimboni kwao Nyakakika, Karagwe. Namfahamu kiasi tokea hapo mpaka sasa.

Nakubaliana na waliosema kuwa uwezo wake ni mdogo sana. Darasani kwao alikuwa miongoni mwa watu wachache wenye vituko vingi na (wabovu) wa mwisho kimasomo.
Hili lilijulikana kwani alishindwa mitihani ya shuleni kwao kuendelea na masomo yake (ingawa alikuwa anajisingizia kuwa mgonjwa) hadi kusababisha kulazimishwa kurudishwa nyuma yaani badala ya kumaliza na mkubwa wangu mwaka 1986 yeye pekee darani kwao ilibidi abaki hapo Seminary na kumaliza 1987 kwa kusaidiwa na mwalimu mzungu mmoja alikuwepo hapo hadi wakawa wanamtania kuwa ni mtoto wa mzungu. Ushahidi angalieni hata CV yake kwenye hiyo site ya Bunge alisoma miaka mitatu badala ya miwili A level. Tena ieleweke wazi kuwa pale seminary A level alikuwa anasoma HLD (History, Literature and Divinity (Bible knowledge), hii ilikuwa combination ya watu dhaifu kiakili tena walikuwa wachache sana pale shuleni kwao; mara nyingi ni wale walioingia na Div. III au IV kutoka form IV. Bahati kwa credit nzuri ya hiyo Bible na kidogo History ndizo nadhani zilimbeba kuingia mlimani akachukuwa hiyo LLB nako kwa kujikongoja sana.
Huyo mwalimu wao mzungu kama bado yuko hai leo, anaweza toa machozi huko aliko akisikia kuwa huyu Blandes anaweza eti kuwa miongoni mwa wana Kamati au Tume maalumu zinazohusika na maadili na uongozi wa Bunge kama ya tuhuma za rushwa na ile ya sakata la Jairo ambazo zote amekuwa mjumbe.

Ni bayana kwamba Begumisa ni mwanasheria mbabaishaji kutokana na huo huo uwezo wake mdogo kiakili na anatutia aibu Wabunge wa CCM kwa kuwa mlaghai. Novemba, mwaka jana kadanganya Bunge kuwa alipita kukusanya maoni juu ya rasimu ya sheria ya marekebisho ya katiba; kwamba wananchi wamemtuma ipite kama ilivyo, ushahidi ni hansard ! Sitashangaa kama anajihusisha na rushwa pia.

Hata uchaguzi wake ulipingwa sana hivyo akatangazwa chini ya ulinzi mkali sana kwa mwendo wa haraka kama ilivyotokea kwa rais Kibaki.

Ijulikane kuwa hata ndani ya CCM tumo tusiowakubali watu wa namna hii maana wanatuchafua na tunataka mihimili yote ya dola iwe makini kumfanyia vetting mtu yeyote ili afahamike vyema tabia na uwezo wake toka alipozaliwa kama anafaa kupewa nafasi kama hizi.

Thanks BabyKailama kwa hii taarifa. Nitafika hadi hapo Lutheran Seminary Morogoro nitafute ukweli kwa undani. Spika wa Bunge na Naibu Spika wa Bunge na Takukuru msilie lie tu oh sijui watu wamepeleka taarifa kwenye magazeti kabla haijasomwa Bungeni; wa kwanza kutoa taarifa tena kwa kupotosha ukweli kuhusu kilichowasilishwa katika hiyo kamati yenu ni huyu Blandes na aliitoa kwa Zitto Kabwe aliyekuwa anaitafuta kwa udi na uvumba. Mfuatilie kwa ukaribu huyu mtu. Hivi kwa nini Tanzania ya leo inashabikia watu vihiyo, waongo waongo na matapeli kama huyu Blandes? Kama Taasisi za umma mnashindwa kazi basi sisi wananchi tutawafunza adabu watu wa namna hii. Unakuwa Mbunge halafu unaendekeza rushwa na kupotosha ukweli eti unajiita Lawyer sijui wa wapi na kupewa kuwa katika kamati za Maadili na Tume? Kumbe hata darasani alikuwa mbumbumbu sasa huyu anatumwa kuchunguza nini wakati mwenyewe yuko tayari kupokea rushwa kwa namna yoyote kama pia walivyosema wajumbe wengine! Ahaaa!!!! kichefuchefu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom