OMBUDSMAN mtoto
Member
- Sep 28, 2012
- 87
- 32
Wadau nisaidieni.
Pamoja na CV yake inayopatikana kwenye website ya Bunge, nani anaweza kutujuza huyu Mwanasheria na Mbunge ni mtu wa namna gani kitabia na uwezo wake katika uelewa mambo mbalimbali toka huko nyuma hata kabla ya kuukwaa uheshimiwa ili inisaidie kutoa hitimisho.
cc Baija Bolobi
Pamoja na CV yake inayopatikana kwenye website ya Bunge, nani anaweza kutujuza huyu Mwanasheria na Mbunge ni mtu wa namna gani kitabia na uwezo wake katika uelewa mambo mbalimbali toka huko nyuma hata kabla ya kuukwaa uheshimiwa ili inisaidie kutoa hitimisho.
cc Baija Bolobi
Last edited by a moderator: