KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
Heshima mbele wakubwa.
Nimesikia kwenye news kwamba gordon mwana wa brown amecharuka akitaka wabunge wote wachunguzwe kule uingereza,kwa sababu kuna taarifa kwamba jamaa walikuwa wakijishughulisha na rostam azizi,ah nimekosea,ufisadi.sasa jamaa wanatakiwa wachunguzwe kutoka miaka minne nyuma.sasa hii naona pia inge faa kutokea hapa kwetu kwa mapapa wa ufisadi.kweli tuta ona mwanga wa utajiri si watanzania na kufurahi maisha bora???
Kazi ipo,ari mpya,nguvu mpya,kasi mpya,i hate this.nikisikia hii idiom.natamani niue..
Asanteni.
CCM=CORRUPTED CRIMINALS OF MANKIND.
Nimesikia kwenye news kwamba gordon mwana wa brown amecharuka akitaka wabunge wote wachunguzwe kule uingereza,kwa sababu kuna taarifa kwamba jamaa walikuwa wakijishughulisha na rostam azizi,ah nimekosea,ufisadi.sasa jamaa wanatakiwa wachunguzwe kutoka miaka minne nyuma.sasa hii naona pia inge faa kutokea hapa kwetu kwa mapapa wa ufisadi.kweli tuta ona mwanga wa utajiri si watanzania na kufurahi maisha bora???
Kazi ipo,ari mpya,nguvu mpya,kasi mpya,i hate this.nikisikia hii idiom.natamani niue..
Asanteni.
CCM=CORRUPTED CRIMINALS OF MANKIND.