Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
wakuu hiyo kitu mi inanichanganya sana,coz kila niki sign up ili niweze kupata matangazo kwa blog yangu,inanigomea,wanasema nitajibiwa baada ya saa 24 lakini hakuna chochote kinachokuja.nifanyeje au nitumie njia gani niweze kupata matangazo katika blog yangu???????? nawakiilisha