sika
Member
- Oct 5, 2009
- 21
- 0
ni jambo zuri sana kuwa na site hii kwani inatuelimisha na kutuburudisha,nimekuwa ni memba wa blog hii kwa muda mrefu kidogo na nimejifunza mengi kwa kweli.kuna baadhi yetu tumekuwa tukichangia vizuri na kutoa ushauri kwa wenzetu wenye matatizo mahusiano yao ya kimapenzi lakini kuna baadhi wamekuwa wakichangia kwa dharau na lugha mbaya ilihali wenzao wanateseka na wengine pia wamefika mbali kwa kutoa theads za uongo na kujiita wanaume kumbe ni wanawake n' vice versa.ushauri wangu tubadilike na tuwe marafiki kweli kwa kuchangia katika matatizo ya wenzetu.kwa mfno ukiangalia www.lovestiries.com utakuta watu wanafeel matatizo ya wenzao na kchangia pasipo mzaha.ni hayo tu. i'm out.