Gonorea and Kaswende

Buswelu

JF-Expert Member
Aug 16, 2007
1,998
351
Hello JF

Kuna magojwa ambayo ni vyema kujua na si vyema kuyapata...na ni vyema kujua namna ya kujikinga nayo...Magojwa taja hapo juu ni yapo na yanatibika.

Ingawa watu wanaona aibu kwenda kuyatibu ndio maana wakati mwingine huwapa watu wenye ujasiri ruhusu ya kwenda kuuliza sehemu kama hii JF.

Swali Ukiugua magojwa haya kwa pamoja....effect zake baada ya kukaa nao ugojwa kwa muda wa wiki mbili bila matibabu au kukaa muda mrefu bila matibabu ni nini?Hasa kama unakuwa husikii maumivu lakini usaa unaona mara moja kwa siku...?
 
In men, gonorrhea can cause epididymitis, a painful condition of the ducts attached to the testicles that may lead to infertility if left untreated.

Gonorrhea can spread to the blood or joints. This condition can be life threatening. In addition, people with gonorrhea can more easily contract HIV, the virus that causes AIDS. HIV-infected people with gonorrhea can transmit HIV more easily to someone else than if they did not have gonorrhea.

Basically your thing is gonna fall of!!
 
Back
Top Bottom