afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Thats so lovely Afroie.....For the one you love....
Babu asante sana kwa taarifa,
ngumu sana kuamini, Mungu amlaze mahali pema peponi..
Thats so lovely Afroie.....For the one you love....
huyo binti kafa kweli au unazogoa
huyo binti kafa kweli au unazogoa
Ahsante na pole pia shem....... Inauma sana aisee!God!! Hii post has made me so SAD... Ingawa nilishapata habari in general na ilishanifanya hivo.... I HATE misiba for it so Breaks me down... Simfahamu, but i am familliar with her Avatar, hivo naweza sema nimewahi muona.... Inauma kumpoteza fellow member but what makes it more painfull ni knowledge kua uwezekano wa JF members wengine katika hilo janga ni kubwa na hatujui ni akina nani.... na yawezekana tusije jua.... I am proud of this small circles za watu wanaojuana.... Hivo kweli tunawaomba saana wawe wanatupa feedbak za wahusika kama ulivofanya ODM....Dah!
Hii inatukumbusha tuliobaki kua we are nothing in front of death, na kwamba twaweza kata pumzi wakati wowote and in a second.... ODM Asante kwa kuweka threads zake... for inatoa insight ya the kind of person she is....
May Chetundu and all the ones we have lost REST IN PEACE..... Na Mwenyezi Mungu Mwingi wa Rehma awape nguvu ya ziada na AMANI Wafiwa... Be blessed....
ODM..... Pole saaaana kwa majonzi...
Poleni wote ,pia jamani ni vizuri kuambiana haya majina ya bandia tunayotutumia hapa hata kwa rafiki yako mmoja au wawili ili Mungu akitupumuzishe mahala pa milele watakobaki wafahamu kuwa mwana JF fulani hayupo nasi tena
Mzee mwenzangu, haya mambo huwa yananishangazaga......... Sijui kwanini aliamua location yake iwe huko.....Sijui bana!Kwa nini aliamua kuandika hayo hapo (blue)???
Masikini ameishia njiani (just missed a step) kabla ya kufika hiyo ward ya mavuno na furaha!!
I am speechless!!
Nimemshangaa sana kwakweli............ Sana!
Kwa nini aliamua kuandika hayo hapo (blue)???
Masikini ameishia njiani (just missed a step) kabla ya kufika hiyo ward ya mavuno na furaha!!
I am speechless!!
Na kweli bana, acha sisi marehemu watarajiwa tuendelee kumwombea Marehemu Beatrix Benny aka Chetuntu alazwe pema peponiMsamahe bure mzee mwenzangu,
Labda ni mtani wake....!!!
Kwenye watu wazima (medically, mentally and psychologically) lazima na wenye mtatizo wapo tu!