Yeah....ndiye yeye mkuu. Ni koleji meti wa homeboy wangu Kimey!haiwezekani wajameni....!
we kidonge huyu mwanamama ni kama nimeshawahi kuongea nae kwa simu mwezi mmoja umepita tukiwa wapi sijui....sio huyu kweli?
NO NO NO NO!...THIS ONE CAN'T BE
Pole sana Maty, ndo hivyo tena. Unaweza tukanana na mtu huku kumbe mama yako........Inauma sana jamani!Siamini toka jtano nimesikia kuhusu kifo chake nakusikitika sana lakini miaka yote hii sijui huyu dada ni member wa jf hadi leo. RIP dada yangu mpendwa. Inauma sana
Inauma sana hommie!Jamani RIP Chentuntu
Kind of overheard hii habari ya huu msiba Jana sehem sehem, ila sikujua kama ni huyu (mambo ya ID)
Kusoma hapa am so saddened jamani,,,,kweli gone too soon
May the Lord God grant you eternal peace, AMEN!
Dah