Hebu iwekeni ya na goli kipa wa Brazil halafu tuwalinganishe! Tatizo vijana wetu hawana mazoezi ya kutosha, minyama uzembe imewajaa halafu wanataka wapambane na Brazili ambao ni wepesi mno. Tena jana Brazil hawakuonyesha mchezo wa juu maana wangefanya hivyo kila mchezaji wa Stars angeondoka uwanjani na goli lake na la mkewe/mpenziwe. Anyway, naamini mchezo huu utakuwa ni changamoto kwao ili wajifunze na kuimarisha zaidi mbinu za kimchezo. Si haba! Ila hizo bilioni zilitimia? Uwanja ulikuwa dorooo kabisa, au wadau walichelewa kwa sababu ya foleni kubwa jana!
nashindwa hata ku-coment juu juu ya huyu Golikipa
Ngassa – 8.5 – Arguably the best player on the field and certainly the pick of the home players. Hard working, effervescent and dangerous, all the Young African star lacked was a killer touch, though he did muster several good efforts that were saved by Gomes. A really impressive performance.Naskia Ngasa ni man wa game
Ngassa – 8.5 – Arguably the best player on the field and certainly the pick of the home players. Hard working, effervescent and dangerous, all the Young African star lacked was a killer touch, though he did muster several good efforts that were saved by Gomes. A really impressive performance.