Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Wanajf naomba msaada wenu! Eti ni goli ngapi natakiwa kufunga kwa siku? Napata shida maana ndo kwanza nimeanza hizi mechi baada ya kuwa bize sana na kitabu. Nina miaka 28 ila sina uzoefu na huyu nilienae ndo wa kwanza kibisa, goli la kwanza huwa linachukua kama sekunde 30, la pili dkk 30, la tatu dkk 40 na yanayoendelea huwa yanavhelewa kidogo.nina uwezo wa kupiga goli kama sana hivi in a single night je ni kosa?
Angalizo....mods mna tabia ya kunibagua sana ninapopost nyuzi zangu naomba hii muiache wasamalia wema wanisaidie
Angalizo....mods mna tabia ya kunibagua sana ninapopost nyuzi zangu naomba hii muiache wasamalia wema wanisaidie