cha moto watakiona lema ni shujaa na mungu ameleta watu kama hawa kwa makusudi ili taifa likombolewe pambana na tuko nyuma yenu nguvu ya uma wala msiwe na wasiwasi hata kipindi cha uchaguzi tulikuwa tayari kwa lolote kuingia mtaani kudai haki yetu ya uraisi sema dk slaa alitumia busara nakuona aina haja ya kumwaga damu ya watanzania masikini kama mungu amepanga kuwa ataiongoza hii nchi basi iko siku tutakutana pale uwanja wa taifa na kumwapisha dk slaa kuwa raisi wetu alafu mafisadi watakiona cha moto