endelea kutujuaza mkuu, maana hatukawii kusikia wiki ijayo Nape anakuja arusha sijui nani atamsikiliza labda akodi watu..
Hivi Lema ana kiwango gani cha elimu? Sijatumwa jamani nauliza tu
Hivi Lema ana kiwango gani cha elimu? Sijatumwa jamani nauliza tu
Mkuu Lema si msomi wala tajiri ila ni kijana mwenye utashi na ushawishi wa hali ya juu wa kisiasa na tena mwenye committment kuwatumikia wabongo . Wasomi katika Bunge letu ni pamoja na Chenge, Lowasa, Rostam, na wengine wengi wakiongozwa na mkuu wa kaya Dr, Dr, Dr, Dr,. Wanatumia elimu zao kuponda mali kufa kwaja bila kuwahurumia waongozwaHivi Lema ana kiwango gani cha elimu? Sijatumwa jamani nauliza tu
Kweli jamaangu. Hatuna rod kabisa. Nawe ww unakaa msola? Mm naishi maeneo hayo karibu na radio 5.aje kwamsola uku hatuna hata barabara jamani
Lema 4 revolution.Jamaa anajiamini sana,na nimtu mwenye msimamo kinyama.
Sijaelewa vizuri hapo mkuu, tumsubiri kivipi? make yourself clear please.Dah mkutano ndio umeisha kwa kumaliziwa na nyimbo za ukombozi juu ya makaburu(watawala).Polisi walikuwapo Kama kawaida yao.Lema amesema kikao kijacho Bungeni tutarajie kumpokea hasa kuhusu suala la Meya wa Arusha na ushahidi wake juu ya Mizengo kudanganya Bunge.
Mkuu Lema si msomi wala tajiri ila ni kijana mwenye utashi na ushawishi wa hali ya juu wa kisiasa na tena mwenye committment kuwatumikia wabongo . Wasomi katika Bunge letu ni pamoja na Chenge, Lowasa, Rostam, na wengine wengi wakiongozwa na mkuu wa kaya Dr, Dr, Dr, Dr,. Wanatumia elimu zao kuponda mali kufa kwaja bila kuwahurumia waongozwa