<br />naona kama wanafanana <br />
<br />
Je kuna uhusiano gani katika biashara zao huko nyuma?
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?
Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
<br /><font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>JeyKey.<br />
<br />
Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.</b></span></font>
<br />Anayeulza ni police? Hizo data anataka azifanyie nini? Kuna hoja ya kudondosha kwa utaratibu hapa? Hoja zmeletwa kizombe, zombe afu unataka watu wapoteze muda kujadili majungu, mambo ya kujadili mbona yapo mengi sana? Wewe mwenyewe mmbea kama huyo mleta mada.
<br />
<br />
ukisikia wabongo vilaza na wanafiki na wewe utakuwa top ten! Kuhusu chonjo siyo ukoo wote wezi wa magari na ndivyo ilivyo kwa lema na hizi koo ni kubwa.kwasababu wizi wa magar kwa arusha ni mkubwa bila shaka mahakaman kutakuwa walau na file ambalo kama si kufunguliwa kwa kesi basi la RB.watanzania tunapenda tantalila sana na kushnda vijiweni
Je Kuna uhusiano gani kati ya Lema na MAssawe
watu wanaomjua lema wanasema ni rafiki wa Massawe
walifanya pamoja biashara tokea zamani
Jamani mwenye DATA zaidi atujuze
JeyKey.
Mkuu wangu Lema na Massawe ni ligi mbili tofauti kabisa.Massawe anacheza ligi daraja la kwanza kamwe hawezi cheza na Lema[siku hizi Massawe anacheza na maharamia ya kisomali].Kama kuna mwanajamvi aliyetoa data za Godbless Lema hakuna wa kunifikia hata kidogo wengi waliniambia namchukia/namwonea wivu na nk.Lema ni nyoka mdogo[tafuta tafsiri Mererani] usiwe mvivu jitahidi kidogo kupitia mabandiko ya Lema utajifunza mengi.Tuhuma za Zombe si zakupuuzwa ingawa kazitoa muda ushapita sana mlizoea kupuza niliyosema leo maumivu yanaanza taratibu na bado mtasikia mengi.Lema alikuwa akicheza ligi ya akina marehemu Babu [Mtoto wa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Arusha Mzee Kileo],marehemu Joseph [Macho man],Marehemu Ayub Masumai [Pank boy] na Chonjo family [wezi maarufu wa magari siku hizi wamestaafu gari lolote likiibiwa wa kwanza kukamatwa ni Chonjo family] na Imamu Sharifu huyu si mchezo aliwahi kuiba gari la mkuu wa mkoa kaachiwa katoka gerezani majuzi nusu ya ujana wake kautumia jela.Wote niliwataja hawako ligi ya Carlos aka Massawe mzee wa deal za kufa mtu muda mwingine nitarejea nikupatie visa vya Carlos.
Tangu nikia shule ya msing kijenge paka leo bado nasikia ukoo wa chonjo na lema ni wezi wakubwa wa magari hapa atown lakni hata siku moja awajapelekwa mahakaman kwa hiyo hapa tunaona serikali LEGELEGE au MDEBWEDO.zombe anakaribia kuf so roho inajtahidi kushkana na mwili.A.M ni mpigaji lakni mbona serikal aijawah kumshika inadhihrisha ndani ya serkali anashrkiana na walio juu.
Kama hujui si unyamaze........hii forum wanaruhusu pia kusoma tu thread za wengine.............mmoja Massawe ni Jambazi hivyo kuna uhalali wa kuhoji urafiki wa mbunge na Jambazi unawakutanisha wapi?
Tatizo humu ndani tunaipenda sana CHADEMA kiasi kwamba akiguswa tu "mtu wetu" basi tunahamaki bila kudodosa hoja kwa utaratibu.
Kamatakamata ya majambazi by JK ilishindwa kuzibitisha kuwa Alex Massawe ni Jambazi, Sasa kelele nyingi za nini?????
<br /><font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Hivi unajua maana ya family.Vipi Arusha umekuja lini ?.Famila ya akiana Chonjo ilihusushwa na wizi wa magari kuanzia miaka 80s gari lolote likiibiwa Arusha,Moshi na Nairobi wakwanza kukamatwa na Chonjo family and their close friends.Siku hizi Chonjo wameachana kabisa na wizi wa magari lakini sifa zao bado zipo.</b></span></font>
Kamatakamata ya majambazi by JK ilishindwa kuzibitisha kuwa Alex Massawe ni Jambazi, Sasa kelele nyingi za nini?????