Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Hilo shaka 0% mkuu,picha muhimu sana.
Hilo shaka 0% mkuu,picha muhimu sana.
Utashindwaje kununua maji ya sh 500/= wakati umeshasunda 10,000/= acha kuzuga watu leo ukitafuta pikipiki Arusha hupati kisa Lema kazikodisha zote.
Usitoe tuhuma nzito bila kuweka source pls. Mimi mbona ni dereva wa boda boda na sijapewa hiyo kitu aiseee acha urongo bana.Utashindwaje kununua maji ya sh 500/= wakati umeshasunda 10,000/= acha kuzuga watu leo ukitafuta pikipiki Arusha hupati kisa Lema kazikodisha zote.
Heeeeeh, usicheze na watu aiseeeeeee!!!Wewe hii sio CCM acha usenge utajiunga na Waingereza bure!
Mbona kila mtu anamtaja huyu Zuberi? Hata Mbowe kwenye moja ya hotba zake alimtaja huyu Zuberi?
Tuelezane ni nani? na anahusikaje na Chadema?
naugua gafla ili niende kwenye mkutano..
ujue washasunda 10,000/=
Taarifa za kiintelijensia zinaonesha kwamba na wao wanapinga uonevu wa polisi wa Arusha!Al-Shabaab?
Kibonde kilaza kweli yaani akili za rushwa magamba ndio hizi za kina (N)gongo lol..........
Mheshimiwa mbunge wa Arusha mjini kamanda G Lema baada ya kutoka gerezani leo atazungumza na wapiga kura wake ktk viwanja wa NMC UNGALIMITED.
Nawasilisha
lema ametoka leo asubuhi na leo mchana atakua na mkutano Viwanja vya NMC kuongea na wapiga kura wake yale aliyoyaona gerezani,watu wa sehemu mbalimbali kutoka arusha wanaelekea huko,pikipiki zmejaa mitaa ya njiro zikiwa na bendera ya cdm
Utashindwaje kununua maji ya sh 500/= wakati umeshasunda 10,000/= acha kuzuga watu leo ukitafuta pikipiki Arusha hupati kisa Lema kazikodisha zote.
Maendeleo gani unayoyataka wewe, kila kitu kwa muda wake. Ukifika muda wa mkutano utajuzwa kinachojiri, saizi ni kama watu wanapasha tu lakini ngoma yenyewe tisa alasiri mkuu. Upo?Hii thread haina maendeleo