Jembe Ulaya
JF-Expert Member
- Oct 27, 2008
- 456
- 104
Yaani CCM wamezoea kutoa rushwa katika kila kitu mpaka wamefika mahali hawaamini kwamba kuna kitu watu wanaweza kufanya na kuungwa mkono na watu bila kuwapa rushwa. Shame on you!Vipi na wewe una pikipiki ushachukua mgao wako 10,000/=@
Al-Shabaab?
We kabonde acha u-masaburi wako na usenge wa ccm wa kuwalipa hongo hadi wanafunzi ili waje kwenye mikutano yenu ya magamba.
Mimi nipo kwenye msafara na hicho unachotaka wana-jf wakuamini sijakiona kwani hata maji ya kunywa tunanunua kwa pesa zetu!
hivi hamnaga video za huko nmc zinazorushwaga youtube?cz mie naogopa virungu,,,,
Tuko pamoja mkuu, tunakuomba umwambie kamanda LEMA ahakikishe kuwa MEYA fake anaondoka na uchaguzi unafanyika upya wa huru na haki. Usisahu kuendelea kutujuza kinachojiri hupo NMC.Niko njiani kuelekea huko!
Nimeahirisha kuingia class baada ya kazi ili nihudhurie hii kitu ........ itabamba kweli kweli
pamoja sana mkuu.sisi huku dar tutakuwa tunatia ubani na sala kwenda mbele.mimi najua ukombozi wa pili wa nchi hii umeaanzia kanda hizo za kaskazini yaani klm,ar ,mr mpaka mz,bk,kg,shy na sasa moto wa kaskazini ukifika mpaka tbr wakati ule wa mb ukisambaa ir,rk na rvm na kuna siku natabiri mtr,ld,mgm,na ta kuwa ngome kuu za mapambano,yaani mpaka kieleweke.Niko njiani kuelekea huko!
Kweli nimeamini Nape yuko kazini hata wewe Kibonde?Vipi na wewe una pikipiki ushachukua mgao wako 10,000/=@
hivi hamnaga video za huko nmc zinazorushwaga youtube?cz mie naogopa virungu,,,,
Ni vizuri kuwa mtulivu wakati wa kupost ili kupunguza mchanganyiko. Sasa hapo hata mimi mwenyewe sijaelewa kama unaleta taarifa au unauliza swali.
Na leo Zuberi apeleke masaburi yake viwanja vya NMC atamke neno "nyie panya" aone cha moto. Patachimbika leo. Mbona kuna kamanda amekaimu nafasi yake au ndio kwaheri A-Town? Atakua amerudishwa makao makuu nini, manake wameshamstukia anatumia masaburi kutenda kazi yake.