KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
nyie MAGAMBA aliyoyasema Nappe yapo akilini mlimnukuu vibaya. Sasa kama alikuwa jambazi ndo asipiganie uhuru wetu mbona zombe aliwaua kina juma ndugu mkamwachia huru?
Ile kesi ya Zombe hata angepewa kichaa pale milembe angetoa hukumu stahiki yote haya amyaoni kweli ugonjwa wa magamba mbaya sana.
Ile kesi ya Zombe hata angepewa kichaa pale milembe angetoa hukumu stahiki yote haya amyaoni kweli ugonjwa wa magamba mbaya sana.