Lema alishamwambia Zombe kwa nini hakumkamata wakati akiwa boss polisi.kuweni makini sana viongozi wa CDM maana ccm inatafuta kila njia kuonekana wema machoni mwa wananchi lakini si kweli
Lema alishamwambia Zombe kwa nini hakumkamata wakati akiwa boss polisi.kuweni makini sana viongozi wa CDM maana ccm inatafuta kila njia kuonekana wema machoni mwa wananchi lakini si kweli
Ndege wafananao ndio uruka pamoja, Jambazi rafiki yake Jambazi.
Wameiba sana magari wote, wapo pamoja toka mwaka 1990 wamefanya ujambazi sana
Lema alishatajwa na aliyekuwa swahiba wake, Zombe.japokuwa zombe amemtaja lema nje ya ulingo lakini mantiki inabaki palepale kuwa ushahidi wa mhalifu ni ushahidi timilifu kuliko wowote.hapa mtatetea sana lakini ukweli ndio huo, kuwa huyo katibu wake/aliekuwa katibu wake anaendeleza tu fani.naweza kukubali/kuamini kuwa kwa hivi sasa Lema ameacha wizi/ujambazi ila mtandao wake/washirika wake wao wanaendelea na kazi.ni bora Lema akauweka wazi mtandao huo ili ufutiliwe mbali hapo atakuwa ameweza kujitoa kimasomaso na huenda akaweza kutuliza tuhuma dhidi yake,bila hivyo wale wote anaoshirikiana nao/aliokuwa anashirikiana nao kila watakapokamatwa basi mjue kuwa Lema atatajwa.hapa msitake kuweka /kupeleka suala hili katika siasa ili kumsafisha Lema. ni miongoni mwa wezi/majambazi wanaotunyima raha.
HIi barua ilipokelewa?
lema ni jambazi hata mseme nini ukweli utabaki ukweli cdm kazi yake kubwa ni kupinga ufisadi iweje ufisadi wa lema haupingwi acheni double standard mkishika dola hali itakuwaje kama mwizi wenu hawajibishwi ili kuonysha mfano mwema.
Ni ajabu sana, watu wanapiga kelele kuwa wanapambana na ufisadi ambao ni wizi lakini wapo mbele kumtetea jambazi Lema kisa ni CDM. Lema ni jambazi tu hamuwezi kuondoa ukweli huu kwa matusi.
Kama vile anavyosingiziwa Slaa kuwa kazaa na mke wa mtu na kaliasi kanisa katoliki akiwa Padri, si ndio?
lema mwenyewe alisema anaejua ufisadi wake ni mkewe, lini umekuwa nyumba ndogo yake?
Lema ataendelea kunyanyasa mioyo yenu kwa siku nyingi zijazo za uhai wake
Mke wa mtu ni nani? Nini kigezo cha kuita huyu ni mke wa mtu na huyu sie. Adhabu kwa anayechukua mke wa mtu zi zipi (akithibitika Mahakamani) na Slaa kapewa adhabu gani hadi sasa.
Padri ni nani? Sifa za kuwa Padri ni zipi? Slaa anazo hizo sifa?
Ukijibu hayo maswali kwa ufasaha utaelewa nini umesema! Gamba we!
CHADEMA huwa haijingatingati kuchukua maamzi ikizibitika kuwa umevunja sheria za chama siyo kama nyie mnae baki kupeana siku...tuwekee ni wizi wa Lema tuuchambue tukiona kavunja sheria za nchi/chama tutamwajibisha...na siyo kutuletea huo usanii wenuLema ni jambazi hata mseme nini ukweli utabaki ukweli CDM kazi yake kubwa ni kupinga ufisadi iweje ufisadi wa Lema haupingwi acheni double standard mkishika dola hali itakuwaje kama mwizi wenu hawajibishwi ili kuonysha mfano mwema.
Ujambazi upi?Slaa kaingiaje hapa tunazungumza ujambazi wa Lema bwana.
Ujambazi upi?
kesi mahakama ipi?
Aliiba nini?
Aliba lini?...
Ni dalili za kufilisika kisiasa, wana magamba wanadhani wanaweza kushinda hoja za wananchi kwa kutunga visingizio hivyo, wamezoea siasa za maji taka, badala ya kusimamia agenda za wananchi wanaishia kuchafua watu, hatushangai angalia serikali yao ilivyo busy jucgafuana kuelekea 2015,