Godbless Lema - aliyekamatwa sio katibu wake ila katibu wake anaitwa Lucy Fransisco

Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.
 
the whole issue looked so fishy, polisi wanajitumbukiza ktk biashara ngumu sana kwa kujiingiza kwenye siasa maana hata ktk taarifa yao.

Wametaja jina la Lema kuliko hata la mhusika mwenyewe na mkitaka kujua kuwa polisi is playing politics mtaona hata baada ya ukweli.

Kujulikana kuhusiana na mhusika kwamba hana mahusiano yoyote ya kikazi na Mh. Lema lakini bado polisi hawatatoa ufafanuzi wowote kusafisha story lakini kama ingekuwa ni mtu wao anahusika ungemuona SAIDI MWEMA mwenyewe anaitisha press conference kukanusha habari zote hizi.
 


Safi sana kwa evidence hii binafsi kwenye ile thread nilipoona source ni gazeti la HabariLeo sikuona hata haja ya kuchangia.
 
Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.

mjomba kazi nyingine haitaje Lema inamhuhusu nini yeye ?? na kuhusu swala la ujambazi he is still innocent until proved guilty, kwa kuwa polisi wamesema hivyo that does not mean it is true acha ushabiki wako wa KIJINGA wewe.
 
<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.</b></span></font>
<br /> <br / we kazi ya mgonja unaitakia nini? Uwe ni ujambazi, utapeli au kazi yyt haituhusu wala haimuhusu kamanda wetu lema.
 
<br /> <br / we kazi ya mgonja unaitakia nini? Uwe ni ujambazi, utapeli au kazi yyt haituhusu wala haimuhusu kamanda wetu lema.
Ngongo yaani ni mtu ambae angependa asikie mabaya yote ya Lema bila kujari ni ya ukeli ama lah imradi yana mhusu Lema na hasa kitendo cha Lema kuwa mbunge kina mkera sana....na anatamani uchanguzi urudiwe hajui kama uchanguzi wa Arusha hataka ukirudiwa usiku wa Leo Lema mbunge....
 
Ndege wafananao ndio uruka pamoja, Jambazi rafiki yake Jambazi.
Wameiba sana magari wote, wapo pamoja toka mwaka 1990 wamefanya ujambazi sana
 
View attachment 35794Aliyekamatwa ndugu Gervas Mgonja ni kutokana na yeye gari yake ambayo huwa anaikodisha kukutwa eneo la tukio na hivyo ndio mkilichopelekea kukamatwa na hii ni kwa mujibu wa maelezo ya Rco.

Ni kweli huyu bwana aliwahi kuwa msaidizi/Katibu wa Mbunge ila tangu mwezi June aliacha kazi baada ya kupata kazi sehemu nyingine na hapa soma ushahidi wa barua iliyopelekwa kwa RPC kumtambulisha , hivyo kitendo cha magazeti ya Serikali na lile la CCM ni kuupotosha umma kwa lengo wanalolijua wao.

Ikumbukwe kuwa ni huyu huyu Lema ndio aliwatetea sana polisi na hata kupelekea wadai posho walizokuwa hawapewi kwa kitambo kirefu na hivyo hili haliwafurahishi kabisa serikali na wakubwa wa polisi.

Ikumbukwe kuwa ni huyu huyu Lema ndio alisababisha mpaka polisi na serikali kukubali kuunda mahakama maalum kwa ajili ya kuchunguza mauaji yaliyokuwa yanafannywa na jeshi la polisi kwa muda mrefu sasa.

Ipo propaganda nyingine ambayo itakuja soon kuhusiana na Mbunge Lema Ama kubaka au kukutwa na madawa ya kulevya ama kulawiti wapo watu wamefuatwa ila na wao wamekuwa wakitoa taarifa hizo hivyo punde ushahidi ukikamilika utawekwa hapa na wale wanaohusika kuumbuka , stay tuned.


Nimeweka ushahidi wa barua husika kama kiambatanisho.

Lema alishatajwa na aliyekuwa swahiba wake, Zombe.japokuwa zombe amemtaja lema nje ya ulingo lakini mantiki inabaki palepale kuwa ushahidi wa mhalifu ni ushahidi timilifu kuliko wowote.

Hapa mtatetea sana lakini ukweli ndio huo, kuwa huyo katibu wake/aliekuwa katibu wake anaendeleza tu fani, naweza kukubali/kuamini kuwa kwa hivi sasa Lema ameacha wizi/ujambazi ila mtandao wake/washirika wake wao wanaendelea na kazi.

Ni bora Lema akauweka wazi mtandao huo ili ufutiliwe mbali hapo atakuwa ameweza kujitoa kimasomaso na huenda akaweza kutuliza tuhuma dhidi yake,bila hivyo wale wote anaoshirikiana nao/aliokuwa anashirikiana nao kila watakapokamatwa basi mjue kuwa Lema atatajwa.

Hapa msitake kuweka /kupeleka suala hili katika siasa ili kumsafisha Lema. ni miongoni mwa wezi/majambazi wanaotunyima raha.
 
Inawezekana huyu Gervas kesha nunuliwa sasa ili kuhalalisha maneno yao kuhusu Lema. Tunatambua ya kuwa pesa ni ibilisi zinaweza kuvuruga hata familia. Kama amekamatwa amalize mataizo yake huko na ujambazi wake.
 
jamani kwani nani aasiyejua ccm wanataka kwa udi na uvumba kuwachafua wabunge wa chadema na CHADEMA kwa ujumla! hizo ni njama tuu na kwataarifa yao tumeshagundua njama zao hao mataahira kazi kulalal tu bungeni wapumbavu wakubwa.

Kwanza hiyo taarifa imeandikwa na magazeti ya serikali na yale ya ccm. wameishiwa hao hawanajipya.
 


Safi sana kwa evidence hii binafsi kwenye ile thread nilipoona source ni gazeti la HabariLeo sikuona hata haja ya kuchangia.


Hakuna evidence hapa wewe, Lema alikuwa jambazi, kama ameacha ni kwa ajili ya ubunge, japokuwa jasiri haachi asili. hata Zombe hakusema kuwa anaendelea kuiba bali alimshambulia kwa matukio yake ya nyuma na huyo mgonja ndio miongoni mwa watendaji wake, ni wazi kwamba bado alikuwa anaendeleza fani. Lema ni jambazi tu.
 
Hakuna evidence hapa wewe, Lema alikuwa jambazi, kama ameacha ni kwa ajili ya ubunge, japokuwa jasiri haachi asili. hata Zombe hakusema kuwa anaendelea kuiba bali alimshambulia kwa matukio yake ya nyuma na huyo mgonja ndio miongoni mwa watendaji wake, ni wazi kwamba bado alikuwa anaendeleza fani. Lema ni jambazi tu.

Huyo Zombe mwenyewe unaemsema unakumbuka aliwafanyia nini watanzania leo unachukua maneno yake na kuyawekea ushahidi.

Kwanza atuambie yeye na kundi lake la ujambazi waliofikia kuwauwa wafanyabiashara wasiokuwa na hatia. Kumbuka Lema hajawahi kufungwa, hana matatizo na polisi sehemu anapoishi, majirani hawana mashaka nae na wala hawajawahi kusikia haya maneno ya ujambazi kwa Lema. na mengine mengi.

Huwezi kutuletea ushahidi kama huu kama Lema angekuwa anafanya haya mambo wanyekuwa wanalindana kama ccm wanavyolindana kiufisadi. mwizi anapenda kulinda mwizi mwezie sio kukurupuka tu.

Na kama kungelikuwa na jambo lolote mgonja asingekubali kukaa kimya mpaka leo.
 
magamba wenyewe kwa wenyewe wanatafutiana zengwe na kashfa ndo washindwe kuandaa kashfa kwa wabunge wa upinzani?????
tena mimi nasema CDM wapo makini kupita maelezo, vinginvyo tungesikia mengi sana kuwahusu wabunge na viongozi wa CDM,
 
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa. Sasa magazeti ya ccm yanalete story ya uongo, halafu ukweli halisi unawekwa hadharani, nani atayaamini tena?

Ccm wameishiwa uwezo wa kufikiri.
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;&lt;span style=&quot;font-family: lucida console&quot;&gt;&lt;b&gt;Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.&lt;/b&gt;&lt;/span&gt;&lt;/font&gt;

hii ni aina ya comment ambayo ilitarajiwa kutoka kwako hatre preacher. Kwakuwa wewe unayafahamu mambo yote yanayomhusu Lema na watu wanaomzunguka unataka nani akusaidie kujua Mgonja kapata kazi gani?

Wewe si ndiye ulipaswa kutujulisha kazi ya mgonja na hata aliyemsaidia kupata hiyo kazi?

Kama sio hii barua ungegangamara hapa kwamba bado ni katibu wake kwa jinsi ulivyo na chuki na Lema ili tu uiridhishe nafsi yako na anayekutuma.
 
Ndege wafananao ndio uruka pamoja, Jambazi rafiki yake Jambazi.<br />
Wameiba sana magari wote, wapo pamoja toka mwaka 1990 wamefanya ujambazi sana
ndiyo maana nataka hii serikali hii legelege nataka iondolewe kama mtu anaweza kufanya ujambazi kwa karibu miaka 20 hapo utasema unaserikali au takataka..kuna watu walishatangazwa kuwa si watanzania lakini ni baada ya kulitumikia taifa hili kwa miaka mingi..
 
magamba wenyewe kwa wenyewe wanatafutiana zengwe na kashfa ndo washindwe kuandaa kashfa kwa wabunge wa upinzani?????<br />
tena mimi nasema CDM wapo makini kupita maelezo, vinginvyo tungesikia mengi sana kuwahusu wabunge na viongozi wa CDM,
<br />
<br />
Sina shaka kwamba viongozi wote wa chadema wako makini dhidi ya njama zozote zinazoandaliwa na magamba kwa kushirikiana na serikali yake,kwahiyo hawatanaswa na mitego kama huu.

Na kama kuna yeyote alikuwa amebweteka basi hii ni kengere ya hatari kwao wajipange vizuri kukabiliana na hujuma za magamba na serikali yake. Kama kweli wanadiriki kuchafuana na kupakaziana wenyewe kwa wenyewe hawashindwi kuwachafua wapiganaji wa kweli.

Ama kweli Lema amewashika pabaya magamba!
 
LEMA ENDELEA MBELE AKUNA M2 DUNIA HII HAPA ANATABIA YAKE ETI MAKURUTA WENGINE WANASEMA LEMA ALIKUWA MWIZI HABARI ZA KUSIKIA KWA ZOMBE HAZINA MSHIKO HAU HAO WANAO MSAPORT JAMBAZI MKUUBWA ZOMBE NI MIJAMBAZI YAKE KAITUMA HUMU .KAMA HII MIJIGAMBA MIDOGO ILIYO TUMWA HUMU KUTETEA UPUMBAVU WA ZOMBE KWELI MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA HIVI YULE MMAZA ALIYE KUJA R.CHUGA NA KITAMBI YAKE KAFIA WAPI? naishia hapo umeme wamesepa nao magamba jk kuzi na serikali yake yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom