Very low from a senior expert great thinker like you.Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.
Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.
<br /> <br / we kazi ya mgonja unaitakia nini? Uwe ni ujambazi, utapeli au kazi yyt haituhusu wala haimuhusu kamanda wetu lema.<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.</b></span></font>
Ngongo yaani ni mtu ambae angependa asikie mabaya yote ya Lema bila kujari ni ya ukeli ama lah imradi yana mhusu Lema na hasa kitendo cha Lema kuwa mbunge kina mkera sana....na anatamani uchanguzi urudiwe hajui kama uchanguzi wa Arusha hataka ukirudiwa usiku wa Leo Lema mbunge....<br /> <br / we kazi ya mgonja unaitakia nini? Uwe ni ujambazi, utapeli au kazi yyt haituhusu wala haimuhusu kamanda wetu lema.
View attachment 35794Aliyekamatwa ndugu Gervas Mgonja ni kutokana na yeye gari yake ambayo huwa anaikodisha kukutwa eneo la tukio na hivyo ndio mkilichopelekea kukamatwa na hii ni kwa mujibu wa maelezo ya Rco.
Ni kweli huyu bwana aliwahi kuwa msaidizi/Katibu wa Mbunge ila tangu mwezi June aliacha kazi baada ya kupata kazi sehemu nyingine na hapa soma ushahidi wa barua iliyopelekwa kwa RPC kumtambulisha , hivyo kitendo cha magazeti ya Serikali na lile la CCM ni kuupotosha umma kwa lengo wanalolijua wao.
Ikumbukwe kuwa ni huyu huyu Lema ndio aliwatetea sana polisi na hata kupelekea wadai posho walizokuwa hawapewi kwa kitambo kirefu na hivyo hili haliwafurahishi kabisa serikali na wakubwa wa polisi.
Ikumbukwe kuwa ni huyu huyu Lema ndio alisababisha mpaka polisi na serikali kukubali kuunda mahakama maalum kwa ajili ya kuchunguza mauaji yaliyokuwa yanafannywa na jeshi la polisi kwa muda mrefu sasa.
Ipo propaganda nyingine ambayo itakuja soon kuhusiana na Mbunge Lema Ama kubaka au kukutwa na madawa ya kulevya ama kulawiti wapo watu wamefuatwa ila na wao wamekuwa wakitoa taarifa hizo hivyo punde ushahidi ukikamilika utawekwa hapa na wale wanaohusika kuumbuka , stay tuned.
Nimeweka ushahidi wa barua husika kama kiambatanisho.
Hakuna evidence hapa wewe, Lema alikuwa jambazi, kama ameacha ni kwa ajili ya ubunge, japokuwa jasiri haachi asili. hata Zombe hakusema kuwa anaendelea kuiba bali alimshambulia kwa matukio yake ya nyuma na huyo mgonja ndio miongoni mwa watendaji wake, ni wazi kwamba bado alikuwa anaendeleza fani. Lema ni jambazi tu.
<font size="3"><span style="font-family: lucida console"><b>Mgonja kaachishwa kazi ya ukatibu kwasababu kapata kazi nyingine [kazi yenyewe hajaitaja]kumbe kazi yenyewe wizi loh salaleeeee.</b></span></font>
ndiyo maana nataka hii serikali hii legelege nataka iondolewe kama mtu anaweza kufanya ujambazi kwa karibu miaka 20 hapo utasema unaserikali au takataka..kuna watu walishatangazwa kuwa si watanzania lakini ni baada ya kulitumikia taifa hili kwa miaka mingi..Ndege wafananao ndio uruka pamoja, Jambazi rafiki yake Jambazi.<br />
Wameiba sana magari wote, wapo pamoja toka mwaka 1990 wamefanya ujambazi sana
<br />magamba wenyewe kwa wenyewe wanatafutiana zengwe na kashfa ndo washindwe kuandaa kashfa kwa wabunge wa upinzani?????<br />
tena mimi nasema CDM wapo makini kupita maelezo, vinginvyo tungesikia mengi sana kuwahusu wabunge na viongozi wa CDM,