Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
Hapo kwenye red, saizi Tanzania ingekuwa kama Somalia, Lema Hamna kitu wewe ni Mbunge wa Arusha unakwenda Tarime kama nani? msitulete vita Tanzania:sorry:hiyo safi,Lema ni kamanda wa kweli! Tungekuwa na kina Lema 10 TZ sijui Tungekuwa wapi sasa.