Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hana vigezo vya kuwa raisi.
Kama vigezo vya kuwa Rais ni Lazima uwe Mwizi kama JK na CCM kweli hivyo vigezo hana.
Lakini kama kigezo ni kuwaletea wananchi maendeleo, kuwaunganisha watanzania kuwa wamoja na wakaipenda nchi yao, Kutumia rasilimali za Taifa kwa faida ya wazalendo, hivyo vigezo anavyo tena beyond expectation!