Pamoja na aibu kubwa mbele ya macho ya mataifa mengine duniani yaliyokuwa yanaangalia mashindano hayo imedhihirisha pia serikali isivyo makini, huwezi ukawakweka maelfu ya watu wote wale wa timu pinzani ( Mahasimu )gizani kwa muda mrefu hii ni kuhatarisha maisha yao kwani wanaweza kudhuriana na kupotelea gizani, halafu inakuwaje kunakuwa hakuna jenerator ya ziada (stand by generator) kwenye uwanja mkubwa kama ule unaoingiza mapato kibao?