Giza la September

Ni bora akaiachia inachangamsha akili ,yaani jamaa wengine wanakuja hapa kutoa mitihani ,si kunasifika kuna wasomi na mapro wa luga ,hicho kindende sasa kinahitaji mbinde maana ukijua ngendembwe utakutana na ngalambe :D tunachangamsha akili baada ya kuona Chadema ni ndumila kuwili :D ingawa wanajaribu kujipapatua. Ila kwa kuongezea tu pingine moderator nae yuko katika kuiweka sawa ni moja kati ya kuweka sawa mambo sasa hapa sio jamaa ameteleza mikono bali na control pia inaonekana haipo

wewe sio cuf ni CCM mafisadi tuimeshakujua
 
Back
Top Bottom