Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
nikianza kufanya analysis ya hii thread naona kuna uongo mkubwa sana ...nani alikwambia kama katekwa maana simu alinyang'anywa ..je ameshatoka huko? ...ulijuaje ni huyo jamaa wa tabata kamteka? ..alimpeleka wapi? .... mpka sasa umechukua hatua gani? ...kama unajua ametekwa pale chuoni..hebu nipe mazingira ya utekwaji!