Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
wazazi wao kwanini wanawapeleka watoto kulelewa na bibi na babu zao?
Nafikiri hii inachangiwa pia na sera yao ya mtoto mmoja,ambapo baada ya mtoto kujitegemea na wazazi kuzeeka uwa wanakuwa hawana cha kufanya hivyo upelekewa mjukuu awachangamshe.Ingawa wazazi usema wanamsaidia mtoto wao ili aendelee na kazi bila kuwa na wasiwasi wa mwanawe.Ishakuwa kama sehemu ya desturi mtoto kulelewa na bibi au babu,ingawa siku hizi kunamabadiliko kadri siku zinavyozidi kusonga.