Gharama za uzazi (maternity-delivery) hospitali za Tanzania

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,886
6,883
Tanzania tumezidi kulalamika mengi na laiti tungelinganisha na nchi nyingine tusingethubutu kwani kuna baadhi ni nafuu mno Tanzania kama masuala ya medication.
Watanzania naomba kujua gharama za kujifungua hospitali ni ngapi? Kuna rafiki yangu mke wake kajifungua nchini marekani na kaletewa billya $27,000. Gharama hizo kwa Tanzania mtu unafungua hospitali.
Nijulisheni jamani
 
Gharama kwa hospital ya private kwa normal deliverance sidhani kama inazidi Tshs 70,000.00 na kwa operation ni kati ya Tshs 150,000.00 - 350,000.00 kulingana na hospital uliyokwenda. Government ni chini kidogo kuliko private, mf mimi wife alijifungua ALMC kwa Tshs 350,000.00 kama operation cost na overall cost ilikuwa ni Tshs 516,000.00 lakini ingekuwa government ingeshuka kidogo!
 
Gharama kwa hospital ya private kwa normal deliverance sidhani kama inazidi Tshs 70,000.00 na kwa operation ni kati ya Tshs 150,000.00 - 350,000.00 kulingana na hospital uliyokwenda. Government ni chini kidogo kuliko private, mf mimi wife alijifungua ALMC kwa Tshs 350,000.00 kama operation cost na overall cost ilikuwa ni Tshs 516,000.00 lakini ingekuwa government ingeshuka kidogo!

Asante Mzee wa Rula. Napata picha huduma za afya nchini mwetu Tanzania ni chini sana ukilinganisha na hizi za nchi za nje. Sikuweza amini uzazi kwa surgery nchini Marekani ifikie kiasi hizyo cha $ 27,000. Kwa mahesabu ya haraka haraka pesa ya kitanzania ni zaidi ya milioni 30. Kama ni hivyo wangapi watafanikiwa kujifungulia hospitali?
 
CS huyo hakuwa na insurance. Kama huna insurance nchi za mbele matibabu ni ghali sana.

Siku nyngine mwambie awasiliane na wabongo wanzake apewe uzoefu na pengine msaada wa how to go about the thing kaala hajajiingiza kichwa kichwa kwenye system.
 
CS huyo hakuwa na insurance. Kama huna insurance nchi za mbele matibabu ni ghali sana.

Siku nyngine mwambie awasiliane na wabongo wanzake apewe uzoefu na pengine msaada wa how to go about the thing kaala hajajiingiza kichwa kichwa kwenye system.

Alikuwa na insurance, kwani wanasema huko mtoto ye yote anayezaliwa ndani ya ardhi yao ni raia tayari kwa maana hiyo hata kama hakuwa na uwezo alipata insurance. Aliniambia insurance hiyo ni ya serikali na inasema "cover the baby" kwa maana kwamba mama anapokuwa mjamzito anakuwa na insurance kwa ajili ya mtoto. Na baada ya kuzaa anabaki nayo mtoto mama anaachwa kivyake.

Lakini insurance huwa inamplekea mgonjwa statement ajue ni gharama gani ametumia hospitalini, ndo hapo alipojua kumbe maternity delivery ni ghali mno ukilinganisha na bongo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom