Gharama za uendeshaji wa gari

unajua wa Africa ata brack American ni watu wa matanuzi hawana Baget mfano mimi nimeish Japan wajep hutumia gari weekend tu tena kwenda Supermarket au sam hotel kwa chakula na family siku hiyo watu wengi wanapanda Tren au Town bus Kwenda kazini na huko mwisho akishuka atapanda Baisker mpaka kazini ndio maana hata magari yakija Africa yanaonekana bado mapya na KLM. pungufu lakini ina umri wa miaka 10.zaidi ya miaka 10 Japan haifai kuwepo mtaani tena ikija kwetu hapa mwaka gari haina Thamani imechoka sababu kila kona uonekane hatujari matumizi wala ghalama ya SIKU kiasigani unatumia......mapaka gari za police hapa zina zurura Ovyo...inatakiwa kila gari 10 za police 1 ndio inazunguka kingine zinabaki Point tu hapo hata mwizi hatambi kira Cona itatoka gari au Pikipiki NK.
 
unajua wa Africa ata brack American ni watu wa matanuzi hawana Baget mfano mimi nimeish Japan wajep hutumia gari weekend tu tena kwenda Supermarket au sam hotel kwa chakula na family siku hiyo watu wengi wanapanda Tren au Town bus Kwenda kazini na huko mwisho akishuka atapanda Baisker mpaka kazini ndio maana hata magari yakija Africa yanaonekana bado mapya na KLM. pungufu lakini ina umri wa miaka 10.zaidi ya miaka 10 Japan haifai kuwepo mtaani tena ikija kwetu hapa mwaka gari haina Thamani imechoka sababu kila kona uonekane hatujari matumizi wala ghalama ya SIKU kiasigani unatumia......mapaka gari za police hapa zina zurura Ovyo...inatakiwa kila gari 10 za police 1 ndio inazunguka kingine zinabaki Point tu hapo hata mwizi hatambi kira Cona itatoka gari au Pikipiki NK.
Sasa public transport ya Japan ni sawa na Tanzania?
 
tameanza na mabus mwendo kasi lakini bado kuna kasoro kubwa Mfano mtu akitoka huko Bunyoka kimara au Kigamboni au Mwenge nk.. gari yake au pikipiki au baiskeri yake ata park wapi ili angie mabasi ya mwendo kasi aende huko atakako bado hawajajiandaa kiutendaji na kiufanisi ndio maana watu wana zurura ovyo na vyombo binafisi...lakiniGari za police hazina haja ya kuzurira Ovyo .....kati ya post na Post kati inaparik gari 1au pikiki 1 kwani ikipgwa Colis ndio hizo gari zinatoka na kuzuia njia ya tukio.... bado hatuja jipanga matokeo mafuta yanatumika bira sababu magari yana haribika bira sababu hata pikipiki nazo zina haribika ovyo kwa matumizi ya Ovyo
 
Sasa public transport ya Japan ni sawa na Tanzania?
Hata japan walianza kama sisi, tupongeze pale ambapo kuna jambo la kujiongeza limetendeka, matatizo ya kiutendaji mahali popote mfumo mpya ukianzishwa hutokea na baada ya muda hufanyika tathmini ya mafanikio na matatizo na kutafuta ufumbuzi na kuboresha.
 
sawa Basi hata magari ya Polce nayo yatembee Ovyo Au Pikipiki hazina haja ya miundo mbinu ni maamzi ya kujipannga na kuamua kwani hao wengi wanaenda nje na kuona wakirudi wanayaacha kwenye Kabrasha hawafanyii kazi kama watu wa Touch wanakaa chini ya miti nk vipi gari na pikipiki zi zurure ovyo tatizo likitokea unambiwa hatuna usafiri au Gari zote Mbovu bila sa babu ya msingi zina zurura......
 
Back
Top Bottom