Gharama za matibabu India kuondoa uvimbe (kansa)kwenye ubongo

Mwana Mnyonge

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
518
448
Habari za Mchana wadau,Tafadhali naomba kujua gharama za matibabu nchini india kuondoa uvimbe kwenye ubongo.

Note;Nina Mdogo wangu umri ni miaka 8 ,alikuwa na tatizo la kudondoka na kupoteza fahamu,Baada ya tatizo kuzidi kuongezeka ,kama familia tuliamua kumpeleka hospital kwa ajiri ya uchunguzi.

Alipiga kipimo cha T -Scan, EEG na MRI na imeokana kuna uvimbe kwenye ubongo(Kansa). Dr amesema upasuaji unaweza kufanyika Tanzania but ameshauri tumpeleke India kwa upasuaji wa uhakika.

Naomba Kujua gharama za upasuaji India na Hospatal Ganni nzuri huko India na Kama kuna Mtu mwenye ushauri plz naomba kuupokea ,nimechanganyikiwa kwa kweli kwa hayo majibu.



Update
Habari zenu wadau

Wadau nashukuru sana kwa mawazo yenu nimefanikiwa kupata quotation kutoka hospitali ya narayana iliyopo india , vile vile nimeomba quotstion kutoka hcg hospital kuna mtu aliniambia na yenyewe ni best cancer center

Asanten
 
Habari za Mchana wadau,Tafadhali naomba kujua gharama za matibabu nchini india kuondoa uvimbe kwenye ubongo.

Note;Nina Mdogo wangu umri ni miaka 8 ,alikuwa na tatizo la kudondoka na kupoteza fahamu,Baada ya tatizo kuzidi kuongezeka ,kama familia tuliamua kumpeleka hospital kwa ajiri ya uchunguzi.

Alipiga kipimo cha T -Scan, EEG na MRI na imeokana kuna uvimbe kwenye ubongo(Kansa). Dr amesema upasuaji unaweza kufanyika Tanzania but ameshauri tumpeleke India kwa upasuaji wa uhakika.

Naomba Kujua gharama za upasuaji India na Hospatal Ganni nzuri huko India na Kama kuna Mtu mwenye ushauri plz naomba kuupokea ,nimechanganyikiwa kwa kweli kwa hayo majibu.


pole sana kaka. njja rahisi ni kuvisit website za hospital zenye reputation nzuri india.. kama apollo, agakhan, narayana health city etc..

then uwasiliane nao kwa e mail ukiomba maelekezo kuhusu mgonjwa wako.

kuwarahisishia kazi. ni vizuri ku attach report za ugonjwa wake za hospital za bongo, majibu ya vipimo alivyopimwa bongo.. ili waweze kupata mwanga na kukupa right cost za matibabu yao kwa mgonjwa wako
 
pole sana kaka. njja rahisi ni kuvisit website za hospital zenye reputation nzuri india.. kama apollo, agakhan, narayana health city etc..

then uwasiliane nao kwa e mail ukiomba maelekezo kuhusu mgonjwa wako.

kuwarahisishia kazi. ni vizuri ku attach report za ugonjwa wake za hospital za bongo, majibu ya vipimo alivyopimwa bongo.. ili waweze kupata mwanga na kukupa right cost za matibabu yao kwa mgonjwa wako

Asante saa kwa ushauri mkuu nitafanya hivyo
 
Pole sana kaka yetu.

Nenda hospitali ya Regency kamuone Dr. Kanabar watakusaidia kwa gharama nafuu.
Hospitali za Apollo ni expensive sana though matibabu ya uhakika.

Kwa nini usiombe msaada wizara ya afya? Atibiwe na serikali?

Dr. wa Cancer anaitwa;

TRILOK BHANDARI bhandaritrilok@rediffmail.com yupo APOLLO HOSPITAL HYDERABAD
Andika email atakujibu. Ila atapenda utume reports na vipimo.

Poleni sana.

Email za staff Apollo Hospital Hyderabad......e-mail addresses for International Desk Staff;


1.Radhey Mohan P.
radheymohan_p@apollohospitals.com

He is the Senior General Manager, International Marketing


Hao chini wasaidizi wake.


2. Rama Rao D....Mob. +919949423334

ramarao_d@apollohospitals.com



3. Lokesh

lokeswar_r@apollohospitals.com


POLENI SANA WAPENDWA.
 

"APOLLOHOSPITAL HYDERABAD"...INDIA.
Detailszote below;
Dr.Trilok Bhandari, daktari wa CANCER...Rediff.com - India, Business, Stock, Sports, Cricket, Entertainment, Bollywood, Music, Video and Breaking news, Rediffmail NG, Shopping
Muandikieemail atakujibu. Peleka reports zote navipimo. Scan, tuma.

Staffwa International Desk list yao hapo chini;

  1. RadheyMohan P.
    radheymohan_p@apollohospitals.com
    He is the Senior General Manager, International Marketing

Hao chini wasaidizi wake;

2. Rama Rao D
ramarao_d@apollohospitals.com
Mobile no: +919949423334


3. Lokesh
lokeswar_r@apollohospitals.com




 
Pole sana kaka yetu.

Nenda hospitali ya Regency kamuone Dr. Kanabar watakusaidia kwa gharama nafuu.
Hospitali za Apollo ni expensive sana though matibabu ya uhakika.

Kwa nini usiombe msaada wizara ya afya? Atibiwe na serikali?

Dr. wa Cancer anaitwa;

TRILOK BHANDARI bhandaritrilok@rediffmail.com yupo APOLLO HOSPITAL HYDERABAD
Andika email atakujibu. Ila atapenda utume reports na vipimo.

Poleni sana.

Email za staff Apollo Hospital Hyderabad......e-mail addresses for International Desk Staff;


1.Radhey Mohan P.
radheymohan_p@apollohospitals.com

He is the Senior General Manager, International Marketing


Hao chini wasaidizi wake.


2. Rama Rao D....Mob. +919949423334

ramarao_d@apollohospitals.com



3. Lokesh

lokeswar_r@apollohospitals.com


POLENI SANA WAPENDWA.

kaka Nashukuru sana kwa maelezo yako yamekuwa msaada mkubwa sana kwetu nitakwenda kesho Regency kuwaoa .
 
Kaka tuwasiliane nikupe connection an mtu aliyopo India (mtanzania) atakusaidia. Mhindi yeyote hasa hao wa regency watakuingiza cha kike. Kuna best hospital Kama Apollo and Max. Tatizo la Apollo ni ghali mno labda kama mmejipanga vyema kifedha. Unaweza ni pm tukashauriana
 
Dr. Trilok Bhandari ni wa Apollo Hosp. Hyderabad, India.

Mr. Radhey Mohan, Ramarao na Lokesh, nao pia wa Apollo Hosp. Hyderabad, India
Hawa ukiandika email, scan vpimo na reports watumie, watakupa gharama, omba na discount.

Regency Hosptali.....Upanga,DSM....mwenye hospitali ndiye Dr. Kanabar.
Huwa wanapeleka watoto India through Lions Club, muombe akusaidie.
 
Dr. Trilok Bhandari ni wa Apollo Hosp. Hyderabad, India.

Mr. Radhey Mohan, Ramarao na Lokesh, nao pia wa Apollo Hosp. Hyderabad, India
Hawa ukiandika email, scan vpimo na reports watumie, watakupa gharama, omba na discount.

Regency Hosptali.....Upanga,DSM....mwenye hospitali ndiye Dr. Kanabar.
Huwa wanapeleka watoto India through Lions Club, muombe akusaidie.

Asante sana ndugu nimeshascan majibu ya vipimo nataka niwatumie asante sana
 
Kaka tuwasiliane nikupe connection an mtu aliyopo India (mtanzania) atakusaidia. Mhindi yeyote hasa hao wa regency watakuingiza cha kike. Kuna best hospital Kama Apollo and Max. Tatizo la Apollo ni ghali mno labda kama mmejipanga vyema kifedha. Unaweza ni pm tukashauriana

Asante mkuu nitakupm
 
Karibu sana. Kesho asubuhi mpigie simu Ramarao, mwambie million urgent issue umetuma email unaomba majibu haraka. India iko mbele masaa 2.30. Mwambie unaomba jibu haraka. Tuma kwenye email address zote hizo za Apollo Hyderabad.
Ukimpata Dr. Bandari, he is very good. Kanitibu, si hadithi. We are together in prayers. Blessings bro.
 
Karibu sana. Kesho asubuhi mpigie simu Ramarao, mwambie million urgent issue umetuma email unaomba majibu haraka. India iko mbele masaa 2.30. Mwambie unaomba jibu haraka. Tuma kwenye email address zote hizo za Apollo Hyderabad.
Ukimpata Dr. Bandari, he is very good. Kanitibu, si hadithi. We are together in prayers. Blessings bro.

Asante ndugu nitafanya hivyo asante sana
 
Kuwa makini na appolo hospital mnaweza uza nyumba bila kutegemea

Hizvi karibuni tulimpeleka mzee wetu kwa matibabu appolo hospital huko india new delhq

kabla ya hapo walitutaka tupeleke vipimo na tukapeleka.
Baada ya kupeleka vipimo wakatupa gharama za kumtibu mgonjwa.

Baada ya kufika india wakampima tena kuona kama vile vipimo ni sahihi wakakuta viko sawa na kuanza matibabu.

Baada ya kuuanza matibabu wakaja na hojanyingine kuwa walikosea diognosis hivyo wamekuta tatizo lingine wakaongeza gharama kwa zaidi kwa dola 3000/=

Lakini cha ajabu walipo maliza matibabu wakaja kuongeza tena gharama zingine tena dolla 2500/=.ikabidi aliyekwenda na mgonjwa awe mkali kwamba kwanini kila mara cost inabadilika sisi huku tutazitoa wapi hizo hela?

Kwakweli appolo ni tatizo labda kwa wale wanaolipiwa na serikali.

Ila baada ya kufanya uchunguzi kuna mhindi mwenzao akatuambia hiyo ndio tabia yao ya kuongeza cost na ni mara nyingi wanapelekwa mahakamani kutoka na tabia hiyo. Sema wanatake advantage kwa kuwa sisi ni wageni hivyo huo muda wa kufungua kesi hatuna hivyo inabidi ulipe tu.

ndugu kweli mgonjwa atapona lakini jiandae na hilo.

Uguza pole ,nilikuwa nakupa angalizo maana yaliyotukuta mungu anajua.
 
Kuwa makini na appolo hospital mnaweza uza nyumba bila kutegemea

Hizvi karibuni tulimpeleka mzee wetu kwa matibabu appolo hospital huko india new delhq

kabla ya hapo walitutaka tupeleke vipimo na tukapeleka.
Baada ya kupeleka vipimo wakatupa gharama za kumtibu mgonjwa.

Baada ya kufika india wakampima tena kuona kama vile vipimo ni sahihi wakakuta viko sawa na kuanza matibabu.

Baada ya kuuanza matibabu wakaja na hojanyingine kuwa walikosea diognosis hivyo wamekuta tatizo lingine wakaongeza gharama kwa zaidi kwa dola 3000/=

Lakini cha ajabu walipo maliza matibabu wakaja kuongeza tena gharama zingine tena dolla 2500/=.ikabidi aliyekwenda na mgonjwa awe mkali kwamba kwanini kila mara cost inabadilika sisi huku tutazitoa wapi hizo hela?

Kwakweli appolo ni tatizo labda kwa wale wanaolipiwa na serikali.

Ila baada ya kufanya uchunguzi kuna mhindi mwenzao akatuambia hiyo ndio tabia yao ya kuongeza cost na ni mara nyingi wanapelekwa mahakamani kutoka na tabia hiyo. Sema wanatake advantage kwa kuwa sisi ni wageni hivyo huo muda wa kufungua kesi hatuna hivyo inabidi ulipe tu.

ndugu kweli mgonjwa atapona lakini jiandae na hilo.

Uguza pole ,nilikuwa nakupa angalizo maana yaliyotukuta mungu anajua.

Thanks mkuu nimekuelewa vizuri kaka , naomba kuuliza ni hospitali gani nyingine ni nzuri kwa kutibu cancer nchini india
 
Back
Top Bottom