Sio gharama kubwa. Anza kwa kuulizia urefu huo bomba na kuchimba kiasi gani. Kisha nenda dawasco. Mita nakumbuka sie mchina tulifungiwa bure tulilipa kuchimba na kununua bomba na kama elfu arobaini kupata account. Gharama ni kuleta maji, kuunga dawasco sio gharama kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.