Gharama za kutoa gari bandarini kuanzia July 2012

Janejo

Member
May 26, 2008
79
2
Naomba kujulishwa gharama mpya za kodi kwa gari ya mwaka 2002 kuanzia July 2012. Nimeagizia Toyota vitz toka Japan hivi karibuni.
 
Naomba kujulishwa gharama mpya za kodi kwa gari ya mwaka 2002 kuanzia July 2012. Nimeagizia Toyota vitz toka Japan hivi karibuni.

Mkuu kilichobadilika ni kuwa "dumping fee" ambayo ni 20 % ya CIF value inahusisha magari yaliyo na umri wa zaidi ya miaka 8 badala ya miaka 10 kama ilivyokuwa hapo awali. Kodi zingine zinabaki kama kawaida.
 
Kama ni vitz yenye CC chini ya 1000 na umri wake ni zaidi ya miaka 8 toka ilipotengenezwa utalipa 25% Import duty, Dumping fee 20% na VAT 18% kama ni zaidi ya cc 1000 basi utaongeza hapo 5% Excise duty, kwa kifupi tu ni kwamba jiandae kulipa kiasi almost sawa na CIF price uliyolipa.
 
Kama ni vitz yenye CC chini ya 1000 na umri wake ni zaidi ya miaka 8 toka ilipotengenezwa utalipa 25% Import duty, Dumping fee 20% na VAT 18% kama ni zaidi ya cc 1000 basi utaongeza hapo 5% Excise duty, kwa kifupi tu ni kwamba jiandae kulipa kiasi almost sawa na CIF price uliyolipa.

Kweli kabisa ni kama 78% ya CIF..
 
Mkuu kilichobadilika ni kuwa "dumping fee" ambayo ni 20 % ya CIF value inahusisha magari yaliyo na umri wa zaidi ya miaka 8 badala ya miaka 10 kama ilivyokuwa hapo awali. Kodi zingine zinabaki kama kawaida.

Ndugu Mashauri nashukuru kwa maelezo yako. Swali langu ni je percentage rates zitabaki kama zamani. Angalia hapa chini:
DEPRECIATION FOR DIRECT IMPORTS
0to <1 year 10%
1 to < 2 years 15%
2 to < 3 years 20%
3 to < 4 years 25%
4 to < 5 years 30%
5 to < 6 years 35%
6 to < 7 years 40%
7 to < 8 years 50%
8 to < 9 years 60%
9 to &#8804; 10 years 70%
above 10 years
 
Ndugu Mashauri nashukuru kwa maelezo yako. Swali langu ni je percentage rates zitabaki kama zamani. Angalia hapa chini:
DEPRECIATION FOR DIRECT IMPORTS
0to <1 year 10%
1 to < 2 years 15%
2 to < 3 years 20%
3 to < 4 years 25%
4 to < 5 years 30%
5 to < 6 years 35%
6 to < 7 years 40%
7 to < 8 years 50%
8 to < 9 years 60%
9 to &#8804; 10 years 70%
above 10 years

Yeah, hizo zinabaki kama zilivyo mkuu
 
Exactly mkubwa nami ndio hesabu nilizopigiwa na TRA, kodi plus damping fee hiyo ya 20% imefika sawa sawa na CIF.....this JULY 2012 imetuumiza kweli wengi wetu,
 
lkn mbona ukitizama ile formula ya TRA ya gari yangu,haihusishi kabisa CIF value?,so nyie mnawezaje kupata hiyo kodi kwa kutumia CIF value?
 
Mabadiliko mengine ni kwamba dumping fee inakuwa applied mpaka kwa vyombo vya utility kama vile Pick Up na Canter
 
Back
Top Bottom