Mwembebasha
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 1,425
- 405
Mkuu usitishike na hiyo kitu, jamaa mpaka hapo anaweka dirisha za kawaida na milango then anahamia. Mbwembwe ulizotaja hapo juu atamalizia akiwa kwake kwa kutumia ile kodi ambayo angempa faza/Mazda house. Big up kamanda!!Unajua dirisha la aluminium complete haipungui kilo 3 una dilisha 11 mlango mzuri mninga 250000 ceiling gypsum kwa nyumba yako hyo makadilio M 3.5 tiles bado Mabomba mziki wake usikie tu bado shimo la Maji taka bado Fundi hajaimba cement name
Gypsum powder kaka hapo bado sana wiring nilisahau