Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20! Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo.
IMG-20141223-WA0007.jpg
IMG-20141224-WA0008.jpg
IMG-20141224-WA0009.jpg
 
Siku zote huwa namuheshimu sana mtu anaefanya kitu kama hiki......hata kama ni room moja........anastahili pongezi.......heshima kwako sana mkuu.......wenzio hiyo pesa ya kufanya hivyo wanaweka heshima bar.........
 
Mkuuuu,tupe progress baada ya kuweka madirisha,miundombinu ya maji taka,safi,milango,ceiling boards n.k,huko ndio kwenye balaa,mbona kupandisha boma sio kazi,kazi finishing mkuu,hapo ndo utakapotoa macho utakapoambiwa wiring tu milioni unusu na ndipo utakapoanza kuwachukia mafundi
 
Na hayo mamilioni wanayotaja wenzio yanajumuisha pia eneo la ujenzi! Ili nyumba iwe n thamani kubwa zaidi inabidi iwe imejengw kwenye eneo ambalo lina thamani pia,maana hata bei ya kiwanja tu ni zaidi ya nusu ya gharama za ujenzi wa nyumba yenyewe,ila kama umejenga dar maeneo kama ya vikawe au mbande sawa,maana kiwanja cha milioni mbili unaweza jenga numba tatu kama hizo,na material nyingine kama mchanga ni bure tu,hivyo wale wanaolalamikia gharama za nyumba(siyo ujenzi tu)waache tu walalamike,Hongeraa sana mkuu kwa hatua hiyo kubwa uliyofikia.
 
Unajua dirisha la aluminium complete haipungui kilo 3 una dilisha 11 mlango mzuri mninga 250000 ceiling gypsum kwa nyumba yako hyo makadilio M 3.5 tiles bado Mabomba mziki wake usikie tu bado shimo la Maji taka bado Fundi hajaimba cement name
Gypsum powder kaka hapo bado sana wiring nilisahau
 
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!

mkuu kama hutojali naomba unipe ramani ya hiyo nyumba yako nime ipenda sna.
 
Siku zote huwa namuheshimu sana mtu anaefanya kitu kama hiki......hata kama ni room moja........anastahili pongezi.......heshima kwako sana mkuu.......wenzio hiyo pesa ya kufanya hivyo wanaweka heshima bar.........

Exactly@Preta,hata km ni kibanda kinachoweza kupigwa teke na kuku ila aliyejenga bwana lazima aheshimiwe..binafsi hata ukimiliki range na vogue ila km nyumba huna sijui nakuonaje yani..thumb up mkuu..kikubwa cha kutambua ni kuwa ujenzi si wa siku moja..hata roma ilijengwa kwa miaka 40,mdogo mdogo ila kwa plan na mikakati inawezekana.
 
Mi nimeweza kwa kujipanga na kipato changu ni kidogo. Vijana tusitishwe na wanaotaja mamilioni ili kujenga nyumba. Hii inakaribia kuisha na sijafikisha hata m 20!

Gharama za kiwanja umetumia sh ngapi mkuu?
 
Exactly@Preta,hata km ni kibanda kinachoweza kupigwa teke na kuku ila aliyejenga bwana lazima aheshimiwe..binafsi hata ukimiliki range na vogue ila km nyumba huna sijui nakuonaje yani..thumb up mkuu..kikubwa cha kutambua ni kuwa ujenzi si wa siku moja..hata roma ilijengwa kwa miaka 40,mdogo mdogo ila kwa plan na mikakati inawezekana.

Roma bado inajengwa.

Construction work for Metro line C at Porta Maggiore, Rome

Construction_work_for_Metro_line_C_at_Porta_Maggiore%2C_Rome.jpg
 
Unajua dirisha la aluminium complete haipungui kilo 3 una dilisha 11 mlango mzuri mninga 250000 ceiling gypsum kwa nyumba yako hyo makadilio M 3.5 tiles bado Mabomba mziki wake usikie tu bado shimo la Maji taka bado Fundi hajaimba cement name
Gypsum powder kaka hapo bado sana wiring nilisahau

Askari muoga na anayetisha wenzie uwanja wa mapambano hafai na yafaa aondolewe site mara moja..huo ni uoga na kumtisha mwenzio.nani alikwambia ujenzi huwa unaisha siku hyo hyo kwa uwezo wetu wa kibongo??kuna simulizi za kweli ukiambiwa humu na ukishuhudia mijengo ilivyosimama,ukawacheki waliosimamisha na ukaambiwa mipango mikakati yao hutashangaa.ujenzi sio kula bia counter kwa mikwala ukafananisha na ujenzi..nimewasalisha jct 'in good faith'
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom