Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Kama mbunge analala hotelini kwa 50,000 kwa siku,je,inagharimu kiasi gani kwa wabunge wetu 350*50,000kwa siku*siku za vikao vya bunge*miaka5??
Hivi ni kwa nini serikali isiingie mkataba na NSSF ikatenga pesa ikajenga nyumba za wabunge zikaweza kuwahudumia wabunge wetu kwa miaka mingi tu kuliko kuendelea kuwahifadhi wabunge wetu mahotelini,huu nao si upotevu wa pesa ya umma?
Nawasilisha wanajamvi
Hivi ni kwa nini serikali isiingie mkataba na NSSF ikatenga pesa ikajenga nyumba za wabunge zikaweza kuwahudumia wabunge wetu kwa miaka mingi tu kuliko kuendelea kuwahifadhi wabunge wetu mahotelini,huu nao si upotevu wa pesa ya umma?
Nawasilisha wanajamvi