kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
Habari za jioni wanajamvi.
Mimi ni kijana wa makamo na nimedhamiria kuchukua 'jiko' yaani mke mwakani.kwa wale wenye majiko au wazoefu wa kamati za harusi naomba msaada wenu katika hili.
Ukizingatia mimi ni mtumishi wa umma mwenye kipato cha wastani ningependa kujua ni kiasi gani cha fedha(makadirio) ninahitaji kuwa nacho mimi kama mimi kabla sijaenda kujitambulisha ukweni?
Naomba tuelezane kuhusu gharama za ukumbi,vyakula,vinywaji,mavazi ya maharusi,usafiri,mc,n.k
ningependa harusi ifanyikie mjini arusha lakini kama kuna sehemu ambayo gharama zake ni cheaper naweze kuangalia uwezekano wa kufanyia huko.
N.B ndoa itakua ya kikristu.
Naamini michango yenu itasaidia wadau wengi walioko kwenye mchakato wa kufunga ndoa.
Mimi ni kijana wa makamo na nimedhamiria kuchukua 'jiko' yaani mke mwakani.kwa wale wenye majiko au wazoefu wa kamati za harusi naomba msaada wenu katika hili.
Ukizingatia mimi ni mtumishi wa umma mwenye kipato cha wastani ningependa kujua ni kiasi gani cha fedha(makadirio) ninahitaji kuwa nacho mimi kama mimi kabla sijaenda kujitambulisha ukweni?
Naomba tuelezane kuhusu gharama za ukumbi,vyakula,vinywaji,mavazi ya maharusi,usafiri,mc,n.k
ningependa harusi ifanyikie mjini arusha lakini kama kuna sehemu ambayo gharama zake ni cheaper naweze kuangalia uwezekano wa kufanyia huko.
N.B ndoa itakua ya kikristu.
Naamini michango yenu itasaidia wadau wengi walioko kwenye mchakato wa kufunga ndoa.