asante mkuu kwa ushauri wako ila ninataka kufanya mwenyewe kwa hyo nilikuwa na hitaji itanicost shilingi ngapi..Mkuu sijakuelewa.., unataka gharama za kumpa mtu akufanyie research au gharama utakazo-incur kwa wewe mwenyewe kufanya.. kama ni wewe ni simple, alafu kumbuka proposal ni kwamba unaandika ni nini utakachofanya, kwahiyo hapa unakuwa haujafanya research yenyewe yaani kutafuta data:-Lakini gharama za full research itategemea unaifanyia wapi ambapo ita-include
lakini a shortcut ongea na hizi NGO's za watoto wa mitaani kama Kuleana e.t.c nadhani watakuwa na ready made data ambazo zitapunguza kazi yako
- stationary
- secretarial services
- transport
- food
- na kama utaenda mbali na unapokaa (accomodation)
asante mkuu kwa ushauri wako ila ninataka kufanya mwenyewe kwa hyo nilikuwa na hitaji itanicost shilingi ngapi..
asante mkuu kwa ushauri wako ila ninataka kufanya mwenyewe kwa hyo nilikuwa na hitaji itanicost shilingi ngapi..
asante mkuu kwa ushauri wako ila ninataka kufanya mwenyewe kwa hyo nilikuwa na hitaji itanicost shilingi ngapi..